Window7
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 4,098
- 3,038
Kiukweli asilimia kubwa ya viongozi waliopo serikalini wamesoma UDSM.
Viongozi hawa wamefanya mambo hasi kama haya.-:
1. Kushuka kwa Elimu Yetu.
2. Kuongeza umasikini nchini.
3. Kushindwa kusimamia vyema huduma za jamii.
4. Kuongozeka kwa Ufisadi nchini.
5. Kupelekea Walimu kudharaulika nchini.
6. Ajira kutolewa kwa kujuana.
7. Bunge kukosa maadili.
......8........9.........10.........11..........12..........................!!!!
Hayo ni baadhi tu ila yapo mengi sana.
Mwl Nyerere hakusoma UDSM na Nchi ilikua shwari kabisa tena yenye maadili.
Ni Wakati Sasa Wakuchagua Viongozi Kutoka Vyuo Vingine UDSM Imeshindwa Kuzalisha Viongozi Bora
Viongozi hawa wamefanya mambo hasi kama haya.-:
1. Kushuka kwa Elimu Yetu.
2. Kuongeza umasikini nchini.
3. Kushindwa kusimamia vyema huduma za jamii.
4. Kuongozeka kwa Ufisadi nchini.
5. Kupelekea Walimu kudharaulika nchini.
6. Ajira kutolewa kwa kujuana.
7. Bunge kukosa maadili.
......8........9.........10.........11..........12..........................!!!!
Hayo ni baadhi tu ila yapo mengi sana.
Mwl Nyerere hakusoma UDSM na Nchi ilikua shwari kabisa tena yenye maadili.
Ni Wakati Sasa Wakuchagua Viongozi Kutoka Vyuo Vingine UDSM Imeshindwa Kuzalisha Viongozi Bora