Viongozi Wapya wa Chadema Mtakaochaguliwa Tunawasihi Msusie Uchaguzi Muone kama Nchi Itasimama Kisa Kususa kwenu.

Viongozi Wapya wa Chadema Mtakaochaguliwa Tunawasihi Msusie Uchaguzi Muone kama Nchi Itasimama Kisa Kususa kwenu.

Inashangaza veggies wote wanampigia kampeni mbowe, wamesahau km mama anaupiga mwingi..!!!
 
Ww binti uwe jf kabla ya huyo mwamba?! Au kwakuwa una kiherehere ndio unaona ni wa muda mrefu humu?
Vibaraka wa Mabeberu nawasubiria Kwa hamu msuse 2025 General election.

Mwisho hayo maneno yalisemwa kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa,tukamuona Kibaraka Lisu alisema eti wakidhani tutasusa 😂😂

Hata Sasa hakuna mtakachofanya Cha maana
 
Tanzania hakuna Kima wa kutumika

Hivi unajua ni kwa nini tulipata uhuru bila kupigana na wazungu kwa kiwango cha kuwa na vita ?

Msiwachukulie watanzania poa kabisa .
Wazungu walikua walewasoma sana watanzania na kujiepusha kuingia nao vita ya kudai uhuru. Walimwambia Malikia kuwa Watanganyika wakiingia kwenye vita wazungu watakuwa wengi kuliko waliouawa Kenya. Wakasema hatutaki kumwaga damu tena kama inayolwagika kwa watu wetu huko Kenya. Ndio maana waliwaandaa watu mapema kuingia kwenye Saisa na kupigania uhuru . Waliwaza kuwa makabila yatagawanyika ili Tupigane wenyewe kwa wenyewe. Bahati nzuri Nyerere akiwa ameshafikia rank ya juu kabisa kama msomi mwenye hadhi ,hulka imani na maarifa makubwa kama wao akashtukia mchezo na kuwaunganisha Watanganyika wote kudai uhuru bila kujali makabila yao . Japo Wachagga na Chief wao Mariale walitaka kujitenga katika kupigania uhuru . Lakini wazee wachache wenye nguvu kama Mzee Aikael Mbowe walimuunga mkono Nyerere.

Lakini pia kumbuka kuwa hawa watanzania unaposema ni waoga ndio waliomtoa Kaburu pale kwenye madaraka S.A, na Zimbabwe wakapata uhuru , Namibi,Botswana n.k. Waganda pia imekombolewa na Watanzania unaowaita waoga.

Dunia inaongozwa na miungu au na Mungu . Nchi ikijaa dhulma watu wanafarakana. Lakini haki ikitamalaki basi watu wanasimamia uzalendo na kuwashinda mafisadi na magenge yao.

Lisu ni mtu mzalendo na roho ya haki imekaa ndani yake . Mungu atawainunua watu watakao waadhibu wahuni na mafisadi kwa namna ya kushangaza sana . Itafikia wakati ndani ya mwaka huu ambapo watu wataogopa kuvaa nguo za Kijani kwani wazalendo watachachamaaaa sana kupinga dhulma .
 
Hivi unajua ni kwa nini tulipata uhuru bila kupigana na wazungu kwa kiwango cha kuwa na vita ?

Msiwachukulie watanzania poa kabisa .
Wazungu walikua walewasoma sana watanzania na kujiepusha kuingia nao vita ya kudai uhuru. Walimwambia Malikia kuwa Watanganyika wakiingia kwenye vita wazungu watakuwa wengi kuliko waliouawa Kenya. Wakasema hatutaki kumwaga damu tena kama inayolwagika kwa watu wetu huko Kenya. Ndio maana waliwaandaa watu mapema kuingia kwenye Saisa na kupigania uhuru . Waliwaza kuwa makabila yatagawanyika ili Tupigane wenyewe kwa wenyewe. Bahati nzuri Nyerere akiwa ameshafikia rank ya juu kabisa kama msomi mwenye hadhi ,hulka imani na maarifa makubwa kama wao akashtukia mchezo na kuwaunganisha Watanganyika wote kudai uhuru bila kujali makabila yao . Japo Wachagga na Chief wao Mariale walitaka kujitenga katika kupigania uhuru . Lakini wazee wachache wenye nguvu kama Mzee Aikael Mbowe walimuunga mkono Nyerere.

Lakini pia kumbuka kuwa hawa watanzania unaposema ni waoga ndio waliomtoa Kaburu pale kwenye madaraka S.A, na Zimbabwe wakapata uhuru , Namibi,Botswana n.k. Waganda pia imekombolewa na Watanzania unaowaita waoga.

Dunia inaongozwa na miungu au na Mungu . Nchi ikijaa dhulma watu wanafarakana. Lakini haki ikitamalaki basi watu wanasimamia uzalendo na kuwashinda mafisadi na magenge yao.

Lisu ni mtu mzalendo na roho ya haki imekaa ndani yake . Mungu atawainunua watu watakao waadhibu wahuni na mafisadi kwa namna ya kushangaza sana . Itafikia wakati ndani ya mwaka huu ambapo watu wataogopa kuvaa nguo za Kijani kwani wazalendo watachachamaaaa sana kupinga dhulma .
Hujui hata historia,nenda mkajifunze utapata sababu za msingi za mkoloni kuachia makoloni yake yoote baada ya vita ya pili ya Dunia ikiwemo Tanganyika.
 
Ccm hali ni mbaya sana, uchaguzi wa mwaka huu
Kwa uzoefu wangu Wala Hali si mbaya tena Kwa Sasa CCm Wana vinyi vya kuinesha kuliko wakati mwingine wowote.

Ukiona hali ni ngumu Kwa ccm na Kwa nilivyofuatilia Serikali za Mitaa ni Kwa vile Wameweka wagombea ambao watu hawawataki.
 
Ccm sijui itamchukua mgombea gani ,vyuma vinavyokuja sio vya dunia hii,

Ushauri ccm msimamishe Mtaka ambae ni mkuu wa Mkoa kwa sasa , au mpeni Mtoto wa Nyerere ambae ni mkuu wa mkoa kwa sasa , vinginevyo mtajua Yesu ni Bwana
 
Ccm sijui itamchukua mgombea gani ,vyuma vinavyokuja sio vya dunia hii,

Ushauri ccm msimamishe Mtaka ambae ni mkuu wa Mkoa kwa sasa , au mpeni Mtoto wa Nyerere ambae ni mkuu wa mkoa kwa sasa , vinginevyo mtajua Yesu ni Bwana
Mgombea wa CCM anajulikana so watakuwa wanaongea hoja gani Sasa?
 
Back
Top Bottom