Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Bado nakataa kuamini. Sitaki kabisa kuamini. Hivi ni kweli? Ama naota? inakuaje kuaje?haiingii akilini? Nadhani sasa Khayatollah ajishike vizuri. Hawa jamaa si watu wazuri.
Akae kwa kutulia sana. Sisi tuliwategemea sana Hezbollah. Sasa tunashindwa kuelewa. Nini kinaendelea huko. Maana tulisema Iran inatusaliti lakini sasa imeonesha nayo kuishambulia Israel. Sasa shida ipo wapi?
Soma Pia: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Gaza na Iran
Akae kwa kutulia sana. Sisi tuliwategemea sana Hezbollah. Sasa tunashindwa kuelewa. Nini kinaendelea huko. Maana tulisema Iran inatusaliti lakini sasa imeonesha nayo kuishambulia Israel. Sasa shida ipo wapi?
Soma Pia: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Gaza na Iran