Hili linafaida gani kwetu kama taifa la Tanzania.Bado nakataa kuamini. Sitaki kabisa kuamini. Hivi ni kweli? Ama naota? inakuaje kuaje?haiingii akilini? Nadhani sasa Khayatollah ajishike vizuri. Hawa jamaa si watu wazuri. Akae kwa kutulia sana. Sisi tuliwategemea sana Hezbollah. Sasa tunashindwa kuelewa. Nini kinaendelea huko. Maana tulisema Iran inatusaliti lakini sasa imeonesha nayo kuishambulia Israel. Sasa shida ipo wapi?View attachment 3115455
View attachment 3115455
International forum...Hili linafaida gani kwetu kama taifa la Tanzania.
Kwamba hujui watanzania wenzetu wakiwa Israel kuchota elimu na maarifa waliuliwa na magaidi? Hebu tuliza ubongo na ufikirie sawa sawa.Hili linafaida gani kwetu kama taifa la Tanzania.
İle video ya kijana joshua iliniumiza sana na ndio maana mpaka leo naunga mkono vita dhidi ya magaidiKwamba hujui watanzania wenzetu wakiwa Israel kuchota elimu na maarifa waliuliwa na magaidi? Hebu tuliza ubongo na ufikirie sawa sawa.
Lione na mmbalakhashia wakeHili linafaida gani kwetu kama taifa la Tanzania.
Wacha wee.kuna wengine wanauliwa South Africa haikuimi ile?İle video ya kijana joshua iliniumiza sana na ndio maana mpaka leo naunga mkono vita dhidi ya magaidi
Nadhani kinachoendelea Lebanon hawataki hawa jamaa waendelee kuwepo maan haiwezekani uwe na nchi halafu na kikundi cha wapiganaji kikipigana na nchi jirani, so hata Hamasi chama cha Fatah nadhani kiliwachoka.Bado nakataa kuamini. Sitaki kabisa kuamini. Hivi ni kweli? Ama naota? inakuaje kuaje?haiingii akilini? Nadhani sasa Khayatollah ajishike vizuri. Hawa jamaa si watu wazuri. Akae kwa kutulia sana. Sisi tuliwategemea sana Hezbollah. Sasa tunashindwa kuelewa. Nini kinaendelea huko. Maana tulisema Iran inatusaliti lakini sasa imeonesha nayo kuishambulia Israel. Sasa shida ipo wapi?View attachment 3115455
View attachment 3115455
Wapi hao?Wacha wee.kuna wengine wanauliwa South Africa haikuimi ile?
We kweli bwege sa kashinda vita karudisha waisrael kule North. Jeshi.lake limeingia Lebanon hio kuwauwa sio tatizo atashika mwingine. Afu mpa mda hu hakuna tarifa kutoka Hezbullah sisi tunamini Hezbullah wanaume hawafichi hata kama kafa mtu wao. SIO hao kenge wanawaita askari zao walio kufa kuku walikuwa kwenye banda😄Bado nakataa kuamini. Sitaki kabisa kuamini. Hivi ni kweli? Ama naota? inakuaje kuaje?haiingii akilini? Nadhani sasa Khayatollah ajishike vizuri. Hawa jamaa si watu wazuri. Akae kwa kutulia sana. Sisi tuliwategemea sana Hezbollah. Sasa tunashindwa kuelewa. Nini kinaendelea huko. Maana tulisema Iran inatusaliti lakini sasa imeonesha nayo kuishambulia Israel. Sasa shida ipo wapi?View attachment 3115455
View attachment 3115455
Kifuatacho sasa ni godfather wa magaidi kuliwa kichwa..Nadhani sasa Khayatollah ajishike vizuri. Hawa jamaa si watu wazuri.
Mbona kama umepaniki dogo?sheikh wangu una hasira sana. Haya mambo hayataki hasiraWe kweli bwege sa kashinda vita karudisha waisrael kule North. Jeshi.lake limeingia Lebanon hio kuwauwa sio tatizo atashika mwingine. Afu mpa mda hu hakuna tarifa kutoka Hezbullah sisi tunamini Hezbullah wanaume hawafichi hata kama kafa mtu wao. SIO hao kenge wanawaita askari zao walio kufa kuku walikuwa kwenye banda😄
Dalili ziko wapi kafaa huyo kiongozi mpya au ile ndege ya UK imethibitisha kafa 😄Mbona kama umepaniki dogo?sheikh wangu una hasira sana. Haya mambo hayataki hasira
Huyu nae kajiuzulu moto wa myahudi sio mzuri lazima asafiri aende kwa allah atake atakwenda asipotaka atakwendaDalili ziko wapi kafaa huyo kiongozi mpya au ile ndege ya UK imethibitisha kafa 😄
Hahaha kifo hatukijui, huyo kaona isiwe tabu, madaraka yenu chukuweni.Huyu nae kajiuzulu moto wa myahudi sio mzuri lazima asafiri aende kwa allah atake atakwenda asipotaka atakwenda
View: https://x.com/HenMazzig/status/1842282002894245897?t=YAEou4hEfXqNO4B5SgHt2g&s=19
Kasusia bikra 72 😆Hahaha kifo hatukijui, huyo kaona isiwe tabu, madaraka yenu chukuweni.