Viongozi wazuri wako CCM, hata ukinuna shauri yako

Viongozi wazuri wako CCM, hata ukinuna shauri yako

Nina ushahidi wa majambazi, mafisadi, wauaji,washirikina,wazinzi, wote wakubwa kuwa CCM kwa kulindwa, na si kwa mapenzi yao kwa chama.

Genge la namna hiyo kiongozi mzuri anatoka wapi!!???

A needle in a haystack.
Ni matumaini yangu kua unao pia ushahidi wa kutosha dhidi ya nyang'anyi kuu la malori ya watu ambalo sasa linajiita nabii,

Lakin pia unao ushahidi usio na shaka dhidi ya wapiga konyagi hadi kuvunjika miguuu,

lakin zaid sana, unao ushahidi wa taaalamu la mataalamu la kuomba omba kuchangiwa professional wa kimataifa 🐒

Kubwa kuliko,
sina shaka yoyote kwamba unao ushahidi usio na shaka, wapigaji kuu la pesa za join the chain na kopeshaji kuu la Chama 🤣

viongozi wazuri wako CCM hata ukinuna shauri yako....
 
Hebu sikiliza wananchi hawa wazalendo nchini, wakielezea uzuri wa viongozi wa CCM kwa video ya wimbo bora kabisa hapa chini..

Fanya uwezavyo ndugu mdau, tafuta bando na udownload wimbo huu wa maana sana kwako na kwa Taifa zima 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hali zao hazifanani na wanachokiimba..!!
 
CCM ni chama Tawala kinacholinda maslahi ya waTanzania wote na ndicho kinachoongoza dollar kwa niaba ya wananchi na kwakweli ndicho chama kinachohakikisha umoja, amani na utulivu wa waTanzania, hauvurugwi wala kuhatarishwa na mtu, kikundi cha watu wala taifa lolote la kigeni...

Usalama Tanzania utalindwa kwa nguvu na gharama yoyote na serikali imara na sikivu sana ya CCM 🐒
Sawa chawa.Lakini kumbuka nchi imetawaliwa na watu mbalimbali kwa nyakati tofauti tofauti na wameiacha nchi ikiendelea.Alianza Mwarabu akaleta biashara ya Utumwa,akaja Mreno akaendeleza hiyo biashara na kutuletea baadhi ya mazao,akaja Mjerumani akakomesha Biashara ya Utumwa na kutujengea baadhi ya miji,bandari,reli,barabara na kuanzisha mashamba ya mikonge,pia akaja Mwingereza akaendeleza pale alipoishia Mjerumani na kutjengea reli ya kwenda Kaskazini mwa Tanzania,kikaja chama cha TANU kikaleta uhuru kwa Watanganyika na kuijenga Tanganyika kuwa jamii moja inayoheshimika duniani.Baadaye baada ya kuzaliwa Tanzania kukaja Chama ambacho kimeleta mpasuko nchini,kinalinda mafisadi,kinaipendelea Zanzibar na watu wake,kimekuwa chama cha jamii fulani wengine ni wa kuburuzwa tu.
 
Sawa chawa.Lakini kumbuka nchi imetawaliwa na watu mbalimbali kwa nyakati tofauti tofauti na wameiacha nchi ikiendelea.Alianza Mwarabu akaleta biashara ya Utumwa,akaja Mreno akaendeleza hiyo biashara na kutuletea baadhi ya mazao,akaja Mjerumani akakomesha Biashara ya Utumwa na kutujengea baadhi ya miji,bandari,reli,barabara na kuanzisha mashamba ya mikonge,pia akaja Mwingereza akaendeleza pale alipoishia Mjerumani na kutjengea reli ya kwenda Kaskazini mwa Tanzania,kikaja chama cha TANU kikaleta uhuru kwa Watanganyika na kuijenga Tanganyika kuwa jamii moja inayoheshimika duniani.Baadaye baada ya kuzaliwa Tanzania kukaja Chama ambacho kimeleta mpasuko nchini,kinalinda mafisadi,kinaipendelea Zanzibar na watu wake,kimekuwa chama cha jamii fulani wengine ni wa kuburuzwa tu.
Infact,
Succession plans ndiyo hasa moyo wa mafanikio ya CCM imara kuongoza Taifa hili lenye amani ya kupigiwa mfano duniani...

Alitoka Hayati Nyerere, akaja hayati Mwinyi, akaja hayati Mkapa, akaja ndugu mstaafu Kikwete na baadae hayati Magufuli na hivi sasa tunae kipenzi na tumaini la waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan 🌹

lakin kuna vyama hiyo kitu hakuna na hawatarajii kuitumia katika kuleta fikra mbadala na mawazo mapya...

Jambo la maana sana, ni vema ikafahamika wazi kwa kila anaesoma reply hii, kua viongozi wazuri wako CCM hata ukinuna shauri yako 🐒
 
Hali zao hazifanani na wanachokiimba..!!
angalia spirit wanayotumia kuimba, skia muunganiko wa vocal, check facial expressions zao za kizalendo, cheki body languages zao za umoja na style wanayotumia kucheza....

cheki mpiga tumba na rthim gitaa anavyokonga nyoyo za waimbaji na wana CCM hao aisee...

Uzalendo na love kwa CCM ni spirit ambayo haijifichi kabisaa gentleman...

Hata hivyo cha muhimu sana ni kwamba, ifahamike wazi kwamba jamii inafahamu kua viongozi wazuri wako CCM na kwahivyo hata ukinuna shauri yako 🤣
 
Infact,
Succession plans ndiyo hasa moyo wa mafanikio ya CCM imara kuongoza Taifa hili lenye amani ya kupigiwa mfano duniani...

Alitoka Hayati Nyerere, akaja hayati Mwinyi, akaja hayati Mkapa, akaja ndugu mstaafu Kikwete na baadae hayati Magufuli na hivi sasa tunae kipenzi na tumaini la waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan 🌹

lakin kuna vyama hiyo kitu hakuna na hawatarajii kuitumia katika kuleta fikra mbadala na mawazo mapya...

Jambo la maana sana, ni vema ikafahamika wazi kwa kila anaesoma reply hii, kua viongozi wazuri wako CCM hata ukinuna shauri yako 🐒
Fikra mbadala na mawazo mapya ni kuwa na jamii inayoheshimu misimamo ya Vyama vingine vya Siasa bila kujali kuwa ni chama tawala au upinzani.Kuwa na Katiba bora inayotambua Vyama Vyote vya Siasa na kuvilinda pia kuvipa nguvu sawa bila kujali ni chama tawala au upinzani.Bila kunzigatia misingi ya Ujamaa na Kujitegemea pamoja na kuheshimu Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 basi tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu maana zama hizi za giza ili uwe kiongozi basi unatakiwa uwe mwanaccm jambo ambalo ni upumbavu uliopitiliza.Uongozi unatokana na mtazamo wa mtu na fikra zake na jinsi jamii wanavyokubaliana naye na siyo shinikizo kutoka kwenye chombo chochote cha nchi(Serikali,Bunge na Mahakama) kwani kukiwa hivyo basi maadili na sifa za viongozi wa nchi hayapo kabisa.
Mwisho ni kuishi kwa kulipana fadhila huku sehemu kubwa ya Wananchi wakiishi kama hawapo kwenye nchi yao.Kupoka haki za raia wengine kwa sababu ya kuendekeza uchama na dola kusimamia hilo kumesababisha hali ya kutoaminiana na upendo wa wengi umepungua.Vile vile machawa na makupe wamezaliwa ili waendelee kuinyonya nchi vizuri na kunufaisha familia zao bila kufanya kazi za ujenzi wa Taifa.Mungu alinusuru hili Taifa maana wapumbavu wanaongezeka kila siku kwa sababu ya maslahi kutoka ccm.
 
Hakika wana Uzuri wa kuiba , kupora na kuua watanzania wanaohatarisha maslahi yao.
wale wengine waache kutoana kafara na kuwachukua vijana misukule halafu wanasingizia wengine alaaaa...

warudishe pesa za join the chain, na wale wengine hodari wa kuomba omba kuchangiwa waache tabia hiyo mbaya ya fedha kwa familia...

mkuu wa chama na wale wengine wajue konyagi sio chai, watavujika migongo badala ya miguu...

vinginevyo,
waache kutumia ushirikina kwenye kutafuta uongozi badala yake watumie ushawishi wa sera na mipango mikakati mbadala ili wachaguliwe..

hata hivyo,
ni muhimu sana kufahamu kwamba viongozi wazuri wako CCM hata ukinuna shauri yako 🤣
 
Ndio Viongozi bora wapo CCM na 2025 mgombea Urais wa CCM atakuwa Mwanaume kijana mwenye nguvu, hekima na hofu ya Mungu kuiongoza Tanzania. Wanawake wameshajaribu imetosha kwa ngazi ya juu ya Uongozi wa Nchi.
elezea vizur kwa faida ya wadau comrade,

but viongozi wazuri wako CCM hata ukinuna shauri yako 🤣
 
CCM ndiyo wameifukarisha nchi hii hadi tunaishia kuwa ombaomba licha ya utajiri lukuki tuliojaliwa na Muumba. Huku kanda ya ziwa kulikuwa na dhahabu kibao lakini sasa tumeachiwa mashimo matupu na vumbi tu na umasikini wa kutisha. Ni viongozi wa CCM walioingia mikataba ya kimangungo iliyowaruhusu mabeberu kuondoka na madini yetu wakituacha na umasikini wetu.
uoga wako ndio umaskini wako gentleman,

acha uvivu na kulalamika, zidisha juhudi katika kufanya kazi kwani mtaji ulio nao ni ngumu zako mwenyewe..
Kuna kila fursa Tanzania, amani na utulivu ni wa uhakika na mazingira ya kufanya kilimo, biashara, ufugaji n.k ni mazuri mno...
Iweje uwe maskini gentleman?

epuka imani potofu za kishirikiana, achana na uganga na ramli katika kutafuta mafanikio yako, utachelewa sana kufanikiwa na utalalamika sana..

Hata hivyo,
bila mihemko yoyote ni vema ukajua kwamba viongozi wazuri wako CCM hata ukinuna shauri yako 🐒
 
Ni Kupungukiwa Akili Kukubwa Sana Ndugu Zangu
By Mzilankende
Mzilankende,
ni kweli kabisaa inaonekana bayana kwamba umepungukiwa na akili umebaki na mihemko tu dah 🐒
 
Walikuwa wanatoa viongozi, but not anymore. Baada ya 2010 waliokuja after that ni chawa, au wana ubinafsi. Wazuri wameshuka to 1%

The rest ni chawa chawa au fisadi
tahmini nzuri na fupi fikirika,

but viongozi wazuri wako CCM hata ukinuna shauri yako 🐒
 
Ni matumaini yangu kua unao pia ushahidi wa kutosha dhidi ya nyang'anyi kuu la malori ya watu ambalo sasa linajiita nabii,

Lakin pia unao ushahidi usio na shaka dhidi ya wapiga konyagi hadi kuvunjika miguuu,

lakin zaid sana, unao ushahidi wa taaalamu la mataalamu la kuomba omba kuchangiwa professional wa kimataifa 🐒

Kubwa kuliko,
sina shaka yoyote kwamba unao ushahidi usio na shaka, wapigaji kuu la pesa za join the chain na kopeshaji kuu la Chama 🤣

viongozi wazuri wako CCM hata ukinuna shauri yako....
Wala siendi mbali, tokea report za CAG zimetoka, zinasomwa. Wahusika ambao ni viongozi wa serikali? Kuna hata mmoja amechukuliwa hatua za kisheria?

Zaidi ya serikali inasikitika, inashangazwa halaf hakuna kitu kinafanyika.

Is because wahusika ni wako bungeni na kwenye taasis ndio maana hawaguswi?
 
uoga wako ndio umaskini wako gentleman,

acha uvivu na kulalamika, zidisha juhudi katika kufanya kazi kwani mtaji ulio nao ni ngumu zako mwenyewe..
Kuna kila fursa Tanzania, amani na utulivu ni wa uhakika na mazingira ya kufanya kilimo, biashara, ufugaji n.k ni mazuri mno...
Iweje uwe maskini gentleman?

epuka imani potofu za kishirikiana, achana na uganga na ramli katika kutafuta mafanikio yako, utachelewa sana kufanikiwa na utalalamika sana..

Hata hivyo,
bila mihemko yoyote ni vema ukajua kwamba viongozi wazuri wako CCM hata ukinuna shauri yako 🐒
Madam umasikini ninaozungumzia ni wa nchi siyo wa kwangu mimi Mazegenuka,kwa sababu hoja ni kuwa viongozi bora wako CCM tu ndiyo nimekueleza ubovu wa viongozi wako wa CCM hadi kuifukarisha nchi. Ishu ya mimi kwa taarifa yako mimi niko vizuri tu ndiyo maana niko huru na sijifungamanishi na CCM yenu kwani sihitaji fadhila toka CCM. Uomba omba niliosema ni ule wa Rais kwenda huko na huko kuomba misaada ili kuendesha nchi au na hili unabisha? Uchawa wenu huko huko,sawa Madam?
 
Wala siendi mbali, tokea report za CAG zimetoka, zinasomwa. Wahusika ambao ni viongozi wa serikali? Kuna hata mmoja amechukuliwa hatua za kisheria?

Zaidi ya serikali inasikitika, inashangazwa halaf hakuna kitu kinafanyika.

Is because wahusika ni wako bungeni na kwenye taasis ndio maana hawaguswi?
huna haja ya kwenda mbali sana gentleman,

viongozi waandamizi wa chama wanavujika miguu kwa sababu ya ulevi, wanakuja na matamko yanayochochewa na ulevi na kuambulia usaliti mpaka wa viongozi waandamizi wenzao achilia mbali wanachama...🤣

ufisadi wa kutisha ndani ya chama hadi viongozi waandamizi wanatetemeka na kukimbilia kuripoti rushwa ya kutisha ndani ya chama, Lakini hofu inawasukuma kwenda kuripoti kwa wananchi nje ya chama , dah..

kwa hakika viongozi wazuri wako CCM hata ukinuna shauri yako 🐒
 
wale wengine waache kutoana kafara na kuwachukua vijana misukule halafu wanasingizia wengine alaaaa...

warudishe pesa za join the chain, na wale wengine hodari wa kuomba omba kuchangiwa waache tabia hiyo mbaya ya fedha kwa familia...

mkuu wa chama na wale wengine wajue konyagi sio chai, watavujika migongo badala ya miguu...

vinginevyo,
waache kutumia ushirikina kwenye kutafuta uongozi badala yake watumie ushawishi wa sera na mipango mikakati mbadala ili wachaguliwe..

hata hivyo,
ni muhimu sana kufahamu kwamba viongozi wazuri wako CCM hata ukinuna shauri yako 🤣
Naona umeandika utumbo mtupu
 
Back
Top Bottom