In a nutshell: Huyu jamaa katafsiri kiswahili kwenda Kiingereza ndugu zangu lugha za watu hizi tuwe makini na hasa unapokuwa na kanafasi. Mungu atuponye sisi watu wake, na hii ndio aliyosema Mh. Peter Msigwa watu wa kiwango kimoja cha elimu, uelewa hawawezi kusaidiana bali wanahitaji aliye juu kiuelewa maarifa nk. Sasa unaandika censer badala ya censors, Residance badala ya Residence, Beural badala ya Bureau, Accountable badala ya counted, Censer officer badala ya censors officilas. It is very interesting!!!!