Viongozi wetu wa Yanga SC tafadhali hatumtaki tena Kocha Lwandamina tumemchoka

Viongozi wetu wa Yanga SC tafadhali hatumtaki tena Kocha Lwandamina tumemchoka

Huyu Kocha wetu wa sasa Mzambia George Lwandamina kiukweli Mimi GENTAMYCINE kama mwanachama halali kabisa wa Yanga SC nasema hatufai na hatuoni ' tija ' yake ndani ya Klabu yetu hivyo tumekubaliana ' Matawi ' yota ya Yanga SC kuuambia Uongozi wa Yanga SC kuwa umfukuze mara moja.

Haiwezekani huyu Kocha Yeye kila siku tu ni kutupangia ' michezaji ' mibovu na mizigo katika Timu yetu kama Ibrahim, Obren Chirwa na Papy Kabamba Tshishimbi ambao kiukweli hawajui mpira, hawastahili hata kuichezea Yanga SC na kila siku wanatugharimu tu katika mechi zetu na hata mishahara mikubwa tunayowapa.

Najua Viongozi wengi wa Yanga SC na hata Msemaji wangu Dismas Ten huwa mnapitia sana humu JamiiForums hebu basi kwa niaba ya Wanachama wenzangu wote wa ' Matawi ' ya Yanga SC Mkoa wa Dar es Salaam Mimi GENTAMYCINE nawaomba achaneni haraka na Kocha Lwandamina.

Wengi wa Wanachama wenzangu wa Yanga SC tunataka Kocha Mkuu wa Yanga SC awe Jackson Mayanja na Msaidizi wake awe Jamhuri Kihwelo ' Julio ' kwani hawa ndiyo Makocha ambao wataiweza Yanga SC yetu na hata kutufikisha katika Fainali ya Klabu Bingwa Afrika na kuchukua Ubingwa na pia kutusaidia kuutetea tena Ubingwa wetu wa VPL na kuwapokonya Simba SC Kombe la ASFC

GENTAMYCINE na Wanayanga wote wa Matawi hapa Dar es Salaam tutashukuru kama mtayazingatia haya.
Wamekusikia, ila msimamo wao ni uleule hata ukitumia fasihi gani; haondoki Omog, wala Mavugo, wala Niyonzima. Na wataendelea kucheza piga-ua, ama-faima, pika-pakua, jua-mvua.
 
Huyu Kocha wetu wa sasa Mzambia George Lwandamina kiukweli Mimi GENTAMYCINE kama mwanachama halali kabisa wa Yanga SC nasema hatufai na hatuoni ' tija ' yake ndani ya Klabu yetu hivyo tumekubaliana ' Matawi ' yota ya Yanga SC kuuambia Uongozi wa Yanga SC kuwa umfukuze mara moja.

Haiwezekani huyu Kocha Yeye kila siku tu ni kutupangia ' michezaji ' mibovu na mizigo katika Timu yetu kama Ibrahim, Obren Chirwa na Papy Kabamba Tshishimbi ambao kiukweli hawajui mpira, hawastahili hata kuichezea Yanga SC na kila siku wanatugharimu tu katika mechi zetu na hata mishahara mikubwa tunayowapa.

Najua Viongozi wengi wa Yanga SC na hata Msemaji wangu Dismas Ten huwa mnapitia sana humu JamiiForums hebu basi kwa niaba ya Wanachama wenzangu wote wa ' Matawi ' ya Yanga SC Mkoa wa Dar es Salaam Mimi GENTAMYCINE nawaomba achaneni haraka na Kocha Lwandamina.

Wengi wa Wanachama wenzangu wa Yanga SC tunataka Kocha Mkuu wa Yanga SC awe Jackson Mayanja na Msaidizi wake awe Jamhuri Kihwelo ' Julio ' kwani hawa ndiyo Makocha ambao wataiweza Yanga SC yetu na hata kutufikisha katika Fainali ya Klabu Bingwa Afrika na kuchukua Ubingwa na pia kutusaidia kuutetea tena Ubingwa wetu wa VPL na kuwapokonya Simba SC Kombe la ASFC.

Ombi langu kubwa leo kwa Wanachama wenzangu wa Yanga SC nchi nzima ni kwamba naomba kila mmoja wenu hapo alipo apige ' dua ' yake anayoielewa ni leo pia Simba SC ama ifungwe au itoke sare na Mbeya City huko Mkoani Mbeya kwani kwa dalili zote ninazoziona kama Simba SC leo itashinda huko Mbeya watakuwa wametuacha kwa points mbili ( 2 ) hali ambayo kwa Kikosi cha Simba SC jinsi kilivyo Kizuri kinaweza kikatupa sana taabu Sisi kuwafikia.

Tafadhali sana Kaimu Mwenyekiti Clement Sanga na Katibu Mkuu wa Charles Mkwasa Sisi Wanayanga wa ' Kindakindaki ' hatumtaki Kocha Lwandamina na tunamtaka Mayanja na Julio waje kuokoa ' jahazi ' lakini pia tunawataka muachane upesi na hawa Wachezaji Ajib, Chirwa na Tshishimbi kwani wana Kiwango kidogo sana cha kuchezea Klabu yetu kubwa barani Afrika na ya Kimataifa pia.

GENTAMYCINE na Wanayanga wote wa Matawi hapa Dar es Salaam tutashukuru kama mtayazingatia haya.
Haya bwana Hassan Dalali.Tumekusikia mtani watu.
 
Huyu Kocha wetu wa sasa Mzambia George Lwandamina kiukweli Mimi GENTAMYCINE kama mwanachama halali kabisa wa Yanga SC nasema hatufai na hatuoni ' tija ' yake ndani ya Klabu yetu hivyo tumekubaliana ' Matawi ' yota ya Yanga SC kuuambia Uongozi wa Yanga SC kuwa umfukuze mara moja.

Haiwezekani huyu Kocha Yeye kila siku tu ni kutupangia ' michezaji ' mibovu na mizigo katika Timu yetu kama Ibrahim, Obren Chirwa na Papy Kabamba Tshishimbi ambao kiukweli hawajui mpira, hawastahili hata kuichezea Yanga SC na kila siku wanatugharimu tu katika mechi zetu na hata mishahara mikubwa tunayowapa.

Najua Viongozi wengi wa Yanga SC na hata Msemaji wangu Dismas Ten huwa mnapitia sana humu JamiiForums hebu basi kwa niaba ya Wanachama wenzangu wote wa ' Matawi ' ya Yanga SC Mkoa wa Dar es Salaam Mimi GENTAMYCINE nawaomba achaneni haraka na Kocha Lwandamina.

Wengi wa Wanachama wenzangu wa Yanga SC tunataka Kocha Mkuu wa Yanga SC awe Jackson Mayanja na Msaidizi wake awe Jamhuri Kihwelo ' Julio ' kwani hawa ndiyo Makocha ambao wataiweza Yanga SC yetu na hata kutufikisha katika Fainali ya Klabu Bingwa Afrika na kuchukua Ubingwa na pia kutusaidia kuutetea tena Ubingwa wetu wa VPL na kuwapokonya Simba SC Kombe la ASFC.

Ombi langu kubwa leo kwa Wanachama wenzangu wa Yanga SC nchi nzima ni kwamba naomba kila mmoja wenu hapo alipo apige ' dua ' yake anayoielewa ni leo pia Simba SC ama ifungwe au itoke sare na Mbeya City huko Mkoani Mbeya kwani kwa dalili zote ninazoziona kama Simba SC leo itashinda huko Mbeya watakuwa wametuacha kwa points mbili ( 2 ) hali ambayo kwa Kikosi cha Simba SC jinsi kilivyo Kizuri kinaweza kikatupa sana taabu Sisi kuwafikia.

Tafadhali sana Kaimu Mwenyekiti Clement Sanga na Katibu Mkuu wa Charles Mkwasa Sisi Wanayanga wa ' Kindakindaki ' hatumtaki Kocha Lwandamina na tunamtaka Mayanja na Julio waje kuokoa ' jahazi ' lakini pia tunawataka muachane upesi na hawa Wachezaji Ajib, Chirwa na Tshishimbi kwani wana Kiwango kidogo sana cha kuchezea Klabu yetu kubwa barani Afrika na ya Kimataifa pia.

GENTAMYCINE na Wanayanga wote wa Matawi hapa Dar es Salaam tutashukuru kama mtayazingatia haya.
Nimejikuta nacheka kwa sauti! Acha mizaha ndgu rudi kwa manara mkaombe penati
 
Huyu Kocha wetu wa sasa Mzambia George Lwandamina kiukweli Mimi GENTAMYCINE kama mwanachama halali kabisa wa Yanga SC nasema hatufai na hatuoni ' tija ' yake ndani ya Klabu yetu hivyo tumekubaliana ' Matawi ' yota ya Yanga SC kuuambia Uongozi wa Yanga SC kuwa umfukuze mara moja.

Haiwezekani huyu Kocha Yeye kila siku tu ni kutupangia ' michezaji ' mibovu na mizigo katika Timu yetu kama Ibrahim, Obren Chirwa na Papy Kabamba Tshishimbi ambao kiukweli hawajui mpira, hawastahili hata kuichezea Yanga SC na kila siku wanatugharimu tu katika mechi zetu na hata mishahara mikubwa tunayowapa.

Najua Viongozi wengi wa Yanga SC na hata Msemaji wangu Dismas Ten huwa mnapitia sana humu JamiiForums hebu basi kwa niaba ya Wanachama wenzangu wote wa ' Matawi ' ya Yanga SC Mkoa wa Dar es Salaam Mimi GENTAMYCINE nawaomba achaneni haraka na Kocha Lwandamina.

Wengi wa Wanachama wenzangu wa Yanga SC tunataka Kocha Mkuu wa Yanga SC awe Jackson Mayanja na Msaidizi wake awe Jamhuri Kihwelo ' Julio ' kwani hawa ndiyo Makocha ambao wataiweza Yanga SC yetu na hata kutufikisha katika Fainali ya Klabu Bingwa Afrika na kuchukua Ubingwa na pia kutusaidia kuutetea tena Ubingwa wetu wa VPL na kuwapokonya Simba SC Kombe la ASFC.

Ombi langu kubwa leo kwa Wanachama wenzangu wa Yanga SC nchi nzima ni kwamba naomba kila mmoja wenu hapo alipo apige ' dua ' yake anayoielewa ni leo pia Simba SC ama ifungwe au itoke sare na Mbeya City huko Mkoani Mbeya kwani kwa dalili zote ninazoziona kama Simba SC leo itashinda huko Mbeya watakuwa wametuacha kwa points mbili ( 2 ) hali ambayo kwa Kikosi cha Simba SC jinsi kilivyo Kizuri kinaweza kikatupa sana taabu Sisi kuwafikia.

Tafadhali sana Kaimu Mwenyekiti Clement Sanga na Katibu Mkuu wa Charles Mkwasa Sisi Wanayanga wa ' Kindakindaki ' hatumtaki Kocha Lwandamina na tunamtaka Mayanja na Julio waje kuokoa ' jahazi ' lakini pia tunawataka muachane upesi na hawa Wachezaji Ajib, Chirwa na Tshishimbi kwani wana Kiwango kidogo sana cha kuchezea Klabu yetu kubwa barani Afrika na ya Kimataifa pia.

GENTAMYCINE na Wanayanga wote wa Matawi hapa Dar es Salaam tutashukuru kama mtayazingatia haya.

Du!kuna watu wana mda wa mchezo kwelikweli. Hivi umekaa week end hii mtoto wa kiume ukatumia dk kadhaa kuandaa Hili bandiko. Poleni sana.
 
Ebu tuachieni yanga yetu atutaki umbea sawa pumbavuuuuuuuuuuuu
 
Huyu Kocha wetu wa sasa Mzambia George Lwandamina kiukweli Mimi GENTAMYCINE kama mwanachama halali kabisa wa Yanga SC nasema hatufai na hatuoni ' tija ' yake ndani ya Klabu yetu hivyo tumekubaliana ' Matawi ' yota ya Yanga SC kuuambia Uongozi wa Yanga SC kuwa umfukuze mara moja.

Haiwezekani huyu Kocha Yeye kila siku tu ni kutupangia ' michezaji ' mibovu na mizigo katika Timu yetu kama Ibrahim, Obren Chirwa na Papy Kabamba Tshishimbi ambao kiukweli hawajui mpira, hawastahili hata kuichezea Yanga SC na kila siku wanatugharimu tu katika mechi zetu na hata mishahara mikubwa tunayowapa.

Najua Viongozi wengi wa Yanga SC na hata Msemaji wangu Dismas Ten huwa mnapitia sana humu JamiiForums hebu basi kwa niaba ya Wanachama wenzangu wote wa ' Matawi ' ya Yanga SC Mkoa wa Dar es Salaam Mimi GENTAMYCINE nawaomba achaneni haraka na Kocha Lwandamina.

Wengi wa Wanachama wenzangu wa Yanga SC tunataka Kocha Mkuu wa Yanga SC awe Jackson Mayanja na Msaidizi wake awe Jamhuri Kihwelo ' Julio ' kwani hawa ndiyo Makocha ambao wataiweza Yanga SC yetu na hata kutufikisha katika Fainali ya Klabu Bingwa Afrika na kuchukua Ubingwa na pia kutusaidia kuutetea tena Ubingwa wetu wa VPL na kuwapokonya Simba SC Kombe la ASFC.

Ombi langu kubwa leo kwa Wanachama wenzangu wa Yanga SC nchi nzima ni kwamba naomba kila mmoja wenu hapo alipo apige ' dua ' yake anayoielewa ni leo pia Simba SC ama ifungwe au itoke sare na Mbeya City huko Mkoani Mbeya kwani kwa dalili zote ninazoziona kama Simba SC leo itashinda huko Mbeya watakuwa wametuacha kwa points mbili ( 2 ) hali ambayo kwa Kikosi cha Simba SC jinsi kilivyo Kizuri kinaweza kikatupa sana taabu Sisi kuwafikia.

Tafadhali sana Kaimu Mwenyekiti Clement Sanga na Katibu Mkuu wa Charles Mkwasa Sisi Wanayanga wa ' Kindakindaki ' hatumtaki Kocha Lwandamina na tunamtaka Mayanja na Julio waje kuokoa ' jahazi ' lakini pia tunawataka muachane upesi na hawa Wachezaji Ajib, Chirwa na Tshishimbi kwani wana Kiwango kidogo sana cha kuchezea Klabu yetu kubwa barani Afrika na ya Kimataifa pia.

GENTAMYCINE na Wanayanga wote wa Matawi hapa Dar es Salaam tutashukuru kama mtayazingatia haya.
Simba ndio wanatakiwa wamtimue kocha. Hafai..
Lakini Yanga tatizo siyo kocha....
Ni wachezaji...
 
Simba ndio wanatakiwa wamtimue kocha. Hafai..
Lakini Yanga tatizo siyo kocha....
Ni wachezaji...

Kumbe hata katika michezo nawe ' wamo ' Mkuu? Nilidhani ni kule tu kwenye ule ' uzi ' wa Mzee Mkono ndiyo ulikobobea kwa ' mapovu '.
 
Kumbe hata katika michezo nawe ' wamo ' Mkuu? Nilidhani ni kule tu kwenye ule ' uzi ' wa Mzee Mkono ndiyo ulikobobea kwa ' mapovu '.
Mapovu unayo wewe. Ulimtetea yule mzee with no evidence. Na leo unamsingizia Lwandamila kumbe tatizo ni wachezaji.
Anyway Yanga ilibebwa sana na JAMAL MALINZI sasa mwaka huu hayupo ndio maana mnaona kana kwamba haifanyi vizuri. Ni kwamba mechi za viporo hamna na siku hizi magoli ya PENATI Yanga hawapewi ukilinganisha na kipindi cha Jamal Malinzi. Upo hapo?
Na yale magoli ya netball style hayapo siku hizi. Tambwe hayupo na hata akipona magoli mpakato hayana nafasi tena mwaka huu. Bado upo?
 
Mapovu unayo wewe. Ulimtetea yule mzee with no evidence. Na leo unamsingizia Lwandamila kumbe tatizo ni wachezaji.
Anyway Yanga ilibebwa sana na JAMAL MALINZI sasa mwaka huu hayupo ndio maana mnaona kana kwamba haifanyi vizuri. Ni kwamba mechi za viporo hamna na siku hizi magoli ya PENATI Yanga hawapewi ukilinganisha na kipindi cha Jamal Malinzi. Upo hapo?
Na yale magoli ya netball style hayapo siku hizi. Tambwe hayupo na hata akipona magoli mpakato hayana nafasi tena mwaka huu. Bado upo?

Kumbe ukitulia huwa unakuwa na ' umakini ' halafu sikujua kuwa hata katika medani za michezo nawe pia uko ' nondo ' vile vile Mkuu.
 
Kumbe ukitulia huwa unakuwa na ' umakini ' halafu sikujua kuwa hata katika medani za michezo nawe pia uko ' nondo ' vile vile Mkuu.
Mimi niko nondo nyanja nyingi. Ukija na hoja za maana utanipenda.....na ukija na hoja za ovyo ovyo hapa ndio mahala pake!
 
Mimi niko nondo nyanja nyingi. Ukija na hoja za maana utanipenda.....na ukija na hoja za ovyo ovyo hapa ndio mahala pake!

Kwahiyo Wewe ni ' Chizi Maarifa ' fulani hivi Mkuu au siyo? Yaani kote kote upo kama Kiungo wa Yanga SC ' Tshishimbi ' vile!
 
Yule mchezaji wa yanga wanayemtuhumu kuwa ni CHAKLA?

Angekuwa kweli ' Chakula / Bwabwa / Punga ' angeweza ' Kuupiga ' vizuri vile Fabo / Mpira Mkuu? Sema tu nae aliharibu tu kule kuvalia kile ' Kikuku ' chake Mguu wa Kushoto ndiyo maana ' Masela ' wakahitimisha kwamba huenda ' anashindiliwa ' Kibaiolojia na Mikuyenge ya ' Madume ' wa down town.
 
Huyu Kocha wetu wa sasa Mzambia George Lwandamina kiukweli Mimi GENTAMYCINE kama mwanachama halali kabisa wa Yanga SC nasema hatufai na hatuoni ' tija ' yake ndani ya Klabu yetu hivyo tumekubaliana ' Matawi ' yota ya Yanga SC kuuambia Uongozi wa Yanga SC kuwa umfukuze mara moja.

Haiwezekani huyu Kocha Yeye kila siku tu ni kutupangia ' michezaji ' mibovu na mizigo katika Timu yetu kama Ibrahim, Obren Chirwa na Papy Kabamba Tshishimbi ambao kiukweli hawajui mpira, hawastahili hata kuichezea Yanga SC na kila siku wanatugharimu tu katika mechi zetu na hata mishahara mikubwa tunayowapa.

Najua Viongozi wengi wa Yanga SC na hata Msemaji wangu Dismas Ten huwa mnapitia sana humu JamiiForums hebu basi kwa niaba ya Wanachama wenzangu wote wa ' Matawi ' ya Yanga SC Mkoa wa Dar es Salaam Mimi GENTAMYCINE nawaomba achaneni haraka na Kocha Lwandamina.

Wengi wa Wanachama wenzangu wa Yanga SC tunataka Kocha Mkuu wa Yanga SC awe Jackson Mayanja na Msaidizi wake awe Jamhuri Kihwelo ' Julio ' kwani hawa ndiyo Makocha ambao wataiweza Yanga SC yetu na hata kutufikisha katika Fainali ya Klabu Bingwa Afrika na kuchukua Ubingwa na pia kutusaidia kuutetea tena Ubingwa wetu wa VPL na kuwapokonya Simba SC Kombe la ASFC.

Ombi langu kubwa leo kwa Wanachama wenzangu wa Yanga SC nchi nzima ni kwamba naomba kila mmoja wenu hapo alipo apige ' dua ' yake anayoielewa ni leo pia Simba SC ama ifungwe au itoke sare na Mbeya City huko Mkoani Mbeya kwani kwa dalili zote ninazoziona kama Simba SC leo itashinda huko Mbeya watakuwa wametuacha kwa points mbili ( 2 ) hali ambayo kwa Kikosi cha Simba SC jinsi kilivyo Kizuri kinaweza kikatupa sana taabu Sisi kuwafikia.

Tafadhali sana Kaimu Mwenyekiti Clement Sanga na Katibu Mkuu wa Charles Mkwasa Sisi Wanayanga wa ' Kindakindaki ' hatumtaki Kocha Lwandamina na tunamtaka Mayanja na Julio waje kuokoa ' jahazi ' lakini pia tunawataka muachane upesi na hawa Wachezaji Ajib, Chirwa na Tshishimbi kwani wana Kiwango kidogo sana cha kuchezea Klabu yetu kubwa barani Afrika na ya Kimataifa pia.

GENTAMYCINE na Wanayanga wote wa Matawi hapa Dar es Salaam tutashukuru kama mtayazingatia haya.
mambo ya mpira waachie watu wa mpira. Lwandamila ni kocha mzuri; ila Plujin ni mzuri zaidi
 
Back
Top Bottom