Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazungu sio wa kuwaamini! Walitengeneza ukimwi na ebora kuangamiza Africa! Wakati wanatengeneza Corona ikawalipukia wenyewe!
U made my day 😱 , na huyu atakuwa betri limemuishia chaji manake ana kutu mwili mzima. Wamrudishe kiwandani 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
nzige ni wadudu wapo tangu siku nyingi, hubuka na kupotea kama walivyo viwavi jeshi
mkuu nzige ni wadudu wapo tangu siku nyingi, huibuka vipindi Fulani na kupotea kama walivyo viwavi jeshiWatu wanatengeneza virus katika maabara, kirusi mdogo mno kuliko bakteria, sasa watashindwaje kutengeneza nzige mdudu mkubwa comparatively , ----- it can be manufactured not created invitro through genes cloning, in this case he is some how correct.
Nimevumilia sana kutokucheka........Unaweza ukaona mtu amevaa suti anashuka kwenye Range Rover ukasema mtu si ndio huyuuuh. Subiri aongee ndio utajiuliza kwani huyu asiwe kwenye bunge la watoto chini ya umri wa miaka 10?
Wazungu sio wa kuwaamini! Walitengeneza ukimwi na ebora kuangamiza Africa! Wakati wanatengeneza Corona ikawalipukia wenyewe!
mkuu nzige ni wadudu wapo tangu siku nyingi, huibuka vipindi Fulani na kupotea kama walivyo viwavi jeshi
hata wazee watu wanasimulia miaka Fulani waliibuka wakala mazao yote
Huwa nikimuangalia Makonda namsifu sana ameyatumia Makalio yake vizuri sana
Wataishi kwa mashaka na wasiwasi mkubwa kutokana na maovu wanayoyatenda,wasiwasi hautoisha mpaka pale watakapo fukiwa kwenye makaburi