Watu wapo bize na wake zao. Wakujibu wewe utawapa nn?Nashangazwa na viongozi wetu wa siasa kuwa very active kwenye social media kupost mambo wanayoyafanya, but ulisema uwafuate inbox kuwaeleza changamoto yako hawakujibu
Moja kati ya viongozi niliojaribu kwenda nao dm ninpamoja na Waziri wa maji (Juma Aweso) na Nikki wa Pilli.
Kupost Ni promo tu. Kaa Kwa kutulia watu wanalamba asaliBut wanapost kila saa
Mpaka uambiwe?. Ukimya Ni jibu toshaKama hawataki tuwafuate dm waseme
Unajua maana ya hypocrisy ?? Basi ndio sifa kuu ya hawa viongozi wetu kwa hiyo usiwatilie maanani kiivyo..Nashangazwa na viongozi wetu wa siasa kuwa very active kwenye social media kupost mambo wanayoyafanya, but ukisema uwafuate inbox kuwaeleza changamoto yako hawakujibu
Moja kati ya viongozi niliojaribu kwenda nao dm ninpamoja na Waziri wa maji (Juma Aweso) na Nikki wa Pilli.
Toyeye na Carleen nao wamekuchunia?Nashangazwa na viongozi wetu wa siasa kuwa very active kwenye social media kupost mambo wanayoyafanya, but ukisema uwafuate inbox kuwaeleza changamoto yako hawakujibu
Moja kati ya viongozi niliojaribu kwenda nao dm ninpamoja na Waziri wa maji (Juma Aweso) na Nikki wa Pilli.
Kikao chetu cha mwisho cha kiumeni ni "pata pesa/kuwa na pesa" utoro wenu ndiyo unaturudisha nyuma kimaendeleo.Tafuta pesa kiongozi [emoji276]uone kama hautajibiwa
KabisaMpaka uambiwe?. Ukimya Ni jibu tosha