Viongozi wetu wapo tayari kuweka kando dhamana ya mamilioni ya wananchi na kumlinda mtu mmoja!

Viongozi wetu wapo tayari kuweka kando dhamana ya mamilioni ya wananchi na kumlinda mtu mmoja!

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima kwenu wanajamvi,

Nimemfuatilia Mh. Rais Mstaafu Mzee Kikwete akielezea mahusiano yake na familia ya Manji, kwamba alikabidhiwa kijana wake amlee.

Ni wazi Manji alikwapua fedha nyingi za NSSF kupitia miradi kausha damu. Tuna shukuru Mungu Magufuli alimfikisha sehemu yake inayostahili.

Kupitia kumbukizi ya Late Manji unagundua kwamba Viongozi wetu tuliowapatia dhamana ya kutuongoza wapo tayari kuweka kando dhamana ya mamilioni ya wananchi na kumlinda mtu mmoja.
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Nimemfuatilia Mh Rais Mstaafu Mzee Kikwete akielezea mahusiano yake na familia ya Manji.
Kwamba alikabidhiwa Kijana wake amlee ?.

Ni wazi Manjis alikwapua fedha nyingi za NSSF kupitia miradi kausha damu.Tuna shukuru Mungu Magufuli alimfikisha sehemu yake inayostahili.

Kupitia kumbukizi ya Late Manjis unagundua kwamba Viongozi wetu tuliowapatia dhamana ya kutuongoza wapo tayari kuweka kando dhamana ya mamilioni ya wananchi na kumlinda mtu mmoja.
Ni tuhuma tu za kawaida kwa sie watu masikini, hufikiri umasikini wetu umesababishwa na matajiri........
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Nimemfuatilia Mh Rais Mstaafu Mzee Kikwete akielezea mahusiano yake na familia ya Manji.
Kwamba alikabidhiwa Kijana wake amlee ?.

Ni wazi Manjis alikwapua fedha nyingi za NSSF kupitia miradi kausha damu.Tuna shukuru Mungu Magufuli alimfikisha sehemu yake inayostahili.

Kupitia kumbukizi ya Late Manjis unagundua kwamba Viongozi wetu tuliowapatia dhamana ya kutuongoza wapo tayari kuweka kando dhamana ya mamilioni ya wananchi na kumlinda mtu mmoja.
Nakumbuka ile kuuzia majengo kwa bils chache akayapga rangi na kuyauza tena kwa waliomuuzia yani nssf kwa bils 84 kama sikosei.
Ila shida ya uongozi wa Afriak ni kumwajibisha aliye chini halafu aliyempa unamwacha.
Mfano S.A wamewafirisi wale wahindi ila Zuma yuko anapeta tu kama kawaida.
 
Sa itakuwaje mkuu?
Eti hawa ndio viongozi waliolelewa na Mwl Nyerere !.

Nadhani tuliwahi kupata uhuru,ukitazama nchi zilizochelewa kupata uhuru utagundua ziko mbali au zilikuwa mbali.
 
Eti hawa ndio viongozi waliolelewa na Mwl Nyerere !.

Nadhani tuliwahi kupata uhuru,ukitazama nchi zilizochelewa kupata uhuru utagundua ziko mbali au zilikuwa mbali.
Hakika
 
Kikwete alikua mwizi tu, ndio mtetezi wa mabepari yote yaliopo bongoland. Huyu mzee angekua China wangekua washamla kichwa kwa ufisadi wake kuila keki ya taifa.
 
Viongozi wa Afrika baadhi yao ni mtihani sana.
 
Je, unawashauri wanasayansi wawafanyie antemortem, wanaweza kugundua kitu?

Wengine wanasema tatizo siyo viongozi wa Afrika, bali Wazungu ndio walaumiwe.

Tangu ukoloni, eti uchawi walioumwagaga barani Afrika haujawaigi kupoa.
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Nimemfuatilia Mh. Rais Mstaafu Mzee Kikwete akielezea mahusiano yake na familia ya Manji, kwamba alikabidhiwa kijana wake amlee.

Ni wazi Manji alikwapua fedha nyingi za NSSF kupitia miradi kausha damu. Tuna shukuru Mungu Magufuli alimfikisha sehemu yake inayostahili.

Kupitia kumbukizi ya Late Manji unagundua kwamba Viongozi wetu tuliowapatia dhamana ya kutuongoza wapo tayari kuweka kando dhamana ya mamilioni ya wananchi na kumlinda mtu mmoja.
Hiyo mada ya Kikwete na Manji nimeamua kwa maksudi kabisa kutoisoma. Lakini wewe hapa umenisaidia sana kwa maelezo yako katika mstari huo wa mwisho:
Kupitia kumbukizi ya Late Manji unagundua kwamba Viongozi wetu tuliowapatia dhamana ya kutuongoza wapo tayari kuweka kando dhamana ya mamilioni ya wananchi na kumlinda mtu mmoja.
Udhaifu wa uongozi wa Kikwete huwa nauhusisha na maswala ya aina hii. Huyu ni mtu wa ma-'deal'. Ufanisi wa maisha ya waTanzania kwake siyo jambo la muhimu sana. Hali ni hiyo hiyo na huyu 'Chura Kiziwi'. Utadhani ni mtu na mdogo wake!
 
Ushauri wa Kikwete kwa Manji, kuhusu kunyamaza na mambo yatapita; naona ni ushauri huo huo unaoendelea kutumiwa na 'Chura Kiziwi'.
 
Ushauri wa Kikwete kwa Manji, kuhusu kunyamaza na mambo yatapita; naona ni ushauri huo huo unaoendelea kutumiwa na 'Chura Kiziwi'.
Naona wataalamu wa grafu na Kalamu mnaunganisha dontsi (dots) kwa makini sana. 🙂
 
Tunaambiwa zile kampuni za kunguni zilizopewa kandarasi za uniform za majeshi, kufunga cctv, intern vituo vyote nchini, coco bichi na duka la jumla kuuza unga, hizi ndio tulizozijua jee ni mangapi hatuyajui
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Nimemfuatilia Mh. Rais Mstaafu Mzee Kikwete akielezea mahusiano yake na familia ya Manji, kwamba alikabidhiwa kijana wake amlee.

Ni wazi Manji alikwapua fedha nyingi za NSSF kupitia miradi kausha damu. Tuna shukuru Mungu Magufuli alimfikisha sehemu yake inayostahili.

Kupitia kumbukizi ya Late Manji unagundua kwamba Viongozi wetu tuliowapatia dhamana ya kutuongoza wapo tayari kuweka kando dhamana ya mamilioni ya wananchi na kumlinda mtu mmoja.
Upo sahihi kabisa ndugu yangu, hapa Tanzania ukipata uongozi unakuwa malaika. Unataka uabudiwe. Unataka pesa za watu mili 10 utumie ww mwenyewe.ukiongea pumba unasema hamkunielewa. Hili limeturudisha sana nyuma. Ni upuuzi na upumbavu.
 
Hivi anayepima uzalendo wa hawa viongozi wa kitaifa kabla ya kupata cheo yeye ni mzalendo kiasi gani?
 
Back
Top Bottom