Wakuu, kwa kawaida matokeo ya mitihani ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu za Serikali (NBAA) hutoa matokeo kila alhamisi ya mwezi December.... Sasa mpaka naandika dakika hii matokeo bado kabisa, au wameahirisha kuyatoa leo? Kwa mwenye taarifa wakuu atujuze maana mimi kuna somo linaitwa Management Accounting & Control liliniijia kushoto kabisa maana walikopi maswali kama yalivyo kutoka taasisi nyingine duniani zinazotoa masomo yanayofanana na ya bodi.
Naomba taarifa tafadhali.
Wakuu, kwa kawaida matokeo ya mitihani ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu za Serikali (NBAA) hutoa matokeo kila alhamisi ya mwezi December.... Sasa mpaka naandika dakika hii matokeo bado kabisa, au wameahirisha kuyatoa leo? Kwa mwenye taarifa wakuu atujuze maana mimi kuna somo linaitwa Management Accounting & Control liliniijia kushoto kabisa maana walikopi maswali kama yalivyo kutoka taasisi nyingine duniani zinazotoa masomo yanayofanana na ya bodi.
Naomba taarifa tafadhali.
MA naona wamechomoa 16% only! chinja chinja!
na wewe umechinjwaaa?[/QUOTE
Ilinitandika mpaka nikaona kama CPA inaniponyoka! si unajua shule za uzeeni hizi alafu mtiti mkubwa! wanaweza hawa fresh from school.
na wewe umechinjwaaa?[/QUOTE
Ilinitandika mpaka nikaona kama CPA inaniponyoka! si unajua shule za uzeeni hizi alafu mtiti mkubwa! wanaweza hawa fresh from school.
elimu za uzee tabu sana kwakweli... ila we endelea kujaribu tu hadi kieleweke
elimu za uzee tabu sana kwakweli... ila we endelea kujaribu tu hadi kieleweke
Nimeshailamba mkuu!