sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,405
- 10,637
Oi oi oi. Yeah.
Wakuu, mabibi na mabwana,
Naomba niwaletee kwenu huu Uzi ambao kila mwana chiti chat atatakiwa kutaja vipaji vyake vitatu3 alivyonanvyo
Naanza mimi hapa ninavipaji vifuatavyo.
1.Football [emoji460] kipaji changu nacho kipenda sana hiki na nimepata mafanikio makubwa mno kwenye hii tasni
2.Music [emoji441] hasa hip hop hapa sina cha kuongea sana subirini tu ngoma yangu na 2PAC
3.Boxing [emoji123] nimetandika sana ngumi waliokuwa wanafukuzia dada zangu uwezo wangu kwenye hii tasnia ni kama umuchukue Anthony Joshua +Mywether Jr
Naomba kuwasilisha.
Karibuni wandungu mtaje na nyie vipaji vyenu.
Wakuu, mabibi na mabwana,
Naomba niwaletee kwenu huu Uzi ambao kila mwana chiti chat atatakiwa kutaja vipaji vyake vitatu3 alivyonanvyo
Naanza mimi hapa ninavipaji vifuatavyo.
1.Football [emoji460] kipaji changu nacho kipenda sana hiki na nimepata mafanikio makubwa mno kwenye hii tasni
2.Music [emoji441] hasa hip hop hapa sina cha kuongea sana subirini tu ngoma yangu na 2PAC
3.Boxing [emoji123] nimetandika sana ngumi waliokuwa wanafukuzia dada zangu uwezo wangu kwenye hii tasnia ni kama umuchukue Anthony Joshua +Mywether Jr
Naomba kuwasilisha.
Karibuni wandungu mtaje na nyie vipaji vyenu.