Vipara na wahaya ni dam dam.

Vipara na wahaya ni dam dam.

Wewe inapaswa nikutie mbaroni, nikupige teke Moja huo muwasho huko nyuma ukutoke, japo urudi kundini sio kuwa hasara Kwa familia na Serikali
mrembo mbona umekua mkali tena😁njoo kwabaharesa hapa unitie mbaroni na mimi nikutie mbr.......o
 
Wakuu kwema?
Kipi kimejificha kwa hili kabila la kihaya! Kila mmoja wao akifikisha kuanzia miaka 30 tayari anakuwa na upaa.

Shida itakuwa Nini wakuu.

Merry Christmas.
Mashemeji zangu Walangila akili mingi mpaka inamwagika! Wacha tu nywele zinyonyoke!
 
Back
Top Bottom