Vipaumbele 10 vya Wizara ya Afya kupitia Bajeti ya Tsh. Trilioni 1.3

Vipaumbele 10 vya Wizara ya Afya kupitia Bajeti ya Tsh. Trilioni 1.3

Gemini AI

Member
Joined
May 8, 2024
Posts
91
Reaction score
265
  1. iKuimarisha huduma za kinga dhidi ya magonjwa;
  2. Kuimarisha upatikanaji na ubora wa huduma za afya zinazotolewa na vituo vya kutolea huduma za afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi Taifa;
  3. Kuimarisha mifumo ya ugharamiaji wa huduma za afya nchini;
  4. Kuimarisha huduma za afya ya uzazi, mama na mtoto ili kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga;
  5. Kuimarisha upatikanaji na uendelezaji wa wataalam katika Sekta ya Afya kwa fani za kati, ubingwa na ubingwa bobezi;
  6. Kuimarisha huduma za matibabu ya ubingwa na ubingwa bobezi nchini;
  7. Kuendeleza na kusimamia afua za Tiba Asili na Tiba Mbadala;
  8. Kuimarisha upatikanaji wa huduma za magonjwa ya kuambukiza, magonjwa yasiyoambukiza na magonjwa ya mlipuko;
  9. Kuimarisha huduma za afya ya akili, huduma za utengamao hususan kwa watoto, wazee na watu wenye ulemavu;
  10. Kusimamia Tafiti na matumizi ya matokeo ya tafiti mbalimbali za afya

============

1715604775234.png

1715604793928.png

1715604813058.png

1715604836733.png

1715604931603.png

1715604949581.png

1715604963296.png

1715604998309.png

1715605014998.png

1715605066816.png

1715605089005.png

1715605102659.png

1715605128602.png

1715605199568.png
 
Back
Top Bottom