Ndugu wataalamu wa JF naomba mtazame hii picha (snapshot) kisha msaidie kufafanua huo ni ugonjwa gani, vipele hivyo vimejitokeza katika sehemu za siri na haviwashi zaidi ya kutoa maji majiView attachment 125862
Sehemu gani ya siri? vilianzaje..vyote kwa pamoja au kimoja kimoja? Kam huwezi kufunguka PM.
Ok mkuu check pvt nimetuma picha kubwa
Ok mkuu check pvt nimetuma picha kubwa
nyie ndio wakurupukaji nyie amemwambia kama hawezi eleza hapa amwandikie pm so amempa option kama ataweza hapa sawa hawezi am pm .sasa ubinafsi uko wapi hapo???????mkuu kwanini aende kwenye pm! Kwani wengine hatuwezi kufaidika na maelekezo utakayotoa??? What a selfishness is this????
Ndugu wataalamu wa JF naomba mtazame hii picha (snapshot) kisha msaidie kufafanua huo ni ugonjwa gani, vipele hivyo vimejitokeza katika sehemu za siri na haviwashi zaidi ya kutoa maji majiView attachment 125862
Ndugu wataalamu wa JF naomba mtazame hii picha (snapshot) kisha msaidie kufafanua huo ni ugonjwa gani, vipele hivyo vimejitokeza katika sehemu za siri na haviwashi zaidi ya kutoa maji majiView attachment 125862
kwa heri mwalimuiyo ni genital herpes, ni ugonjwa unaotokana na virus , hauna dawa za hospitali kwa sasa zinazotibu ugonjwa huo.