Habari wana Jf.. nina tatizo la kuwa na vipele vigumu kwenye kuta za mashavu ukeni. Nimekuwa nikisumbuliwa na hili tatizo kwa muda mrefu. Nimekuwa nikitumia dawa bila mafanikio.. mwanzon vilikuwa pande zote mbili lakini kwa sasa vipo upande mmoja .
Haviumi na havitoi harufu. Napata normal discharge na nilishawah kwenda hospital nikaambiwa may b infection ya kutumia cream wakat wa kushave na nikapewa dawa nikatumia.. kwa sasa nimeacha kutumia lkn vipele bado vpo. na ukiangalia kwa haraka havionekani mpk nikiminya kwa ndan ndo kuna kiuvimbe vya kipele viwili. MSAADA PLS.
Haviumi na havitoi harufu. Napata normal discharge na nilishawah kwenda hospital nikaambiwa may b infection ya kutumia cream wakat wa kushave na nikapewa dawa nikatumia.. kwa sasa nimeacha kutumia lkn vipele bado vpo. na ukiangalia kwa haraka havionekani mpk nikiminya kwa ndan ndo kuna kiuvimbe vya kipele viwili. MSAADA PLS.