demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Mabingwa wa Uganda wanatarajiwa kushiriki katika kilele cha Wananchi hapo Agosti 6.
Pia Mabingwa wa LigiKUU Tanzania Bara watatumia mtanange huo pia kufanya tathmini ya Mchezaji Ceaser Manzoki kama long time replacement ya Heriethier Makambo ambaye mkataba wake unafikia ukingoni majira ya joto.
Baada ya Coach Nasreddine Nabi kuletewa jina lako hapo July mosi, alipendekeza kumuona na kutathmini uwezo wake. Hiyo ndio sababu ya Mabingwa wa Nchi kuwaalika Vipers SC kwenye kilele hiko.
Aidha Ceaser Manzoki anamaliza mkataba wako Oktoba 2022. Hivyo ataendelea kuwako klabuni hapo mpaka muda huo au endapo itatokea offer nono ya dau lisilopungua la Miliono 200.
Hapo awali Klabu ya Yanga SC ilikuwa kwenye mipango ya kuwaalika mabingwa wa Angola.
Pia Mabingwa wa LigiKUU Tanzania Bara watatumia mtanange huo pia kufanya tathmini ya Mchezaji Ceaser Manzoki kama long time replacement ya Heriethier Makambo ambaye mkataba wake unafikia ukingoni majira ya joto.
Baada ya Coach Nasreddine Nabi kuletewa jina lako hapo July mosi, alipendekeza kumuona na kutathmini uwezo wake. Hiyo ndio sababu ya Mabingwa wa Nchi kuwaalika Vipers SC kwenye kilele hiko.
Aidha Ceaser Manzoki anamaliza mkataba wako Oktoba 2022. Hivyo ataendelea kuwako klabuni hapo mpaka muda huo au endapo itatokea offer nono ya dau lisilopungua la Miliono 200.
Hapo awali Klabu ya Yanga SC ilikuwa kwenye mipango ya kuwaalika mabingwa wa Angola.