Vipers SC waikejeli simba SC kwa kuiita zuwena fc

Little brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2020
Posts
4,282
Reaction score
6,303
Wakuu maajabu huwa hayaishi Bunju. Baada ya majina kadhaa kupita Msimbazi kama makolo FC, mbumbumbu FC, mikia FC.

Leo timu kubwa ya Uganda, Vipers sc kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wamewapa jina jipya hawa ndugu zetu.

Jina ilo ni Zuwena fc.
Hapo vipi watani tuendelee na makolo au zuwena fc?

 
Fadhila ni Karama...!

Utopolo mmekosa Fadhila...!

Mama Yake Fei Toto... !

Kweli ndio muwakusanye Watu Wa Sokoni Wale Ugali Kwa Sukari ili Mumdhihaki Mama.!

Bila Kujali mchango Wake? Mama Mzaa chema..!
Imeniuma sana
 
Official account ya vipers[emoji23][emoji23]
 
Mnamuita mtu Zuwena wakati amekufunga kwako? Yanga mnaanzisha kurasa za mchongo mnasema za Viper
 
Utopolo mna matatizo sana nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…