[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na yie si mlinunua wachezaji kutoka ulaya kina Bigirimana?
Hilo topolo tu usilipandishe chati.Nenda kwenye page za vipers.
Haibadilishi kipigo chao kipo palepaleWakuu maajabu huwa hayaishi bunju. baada ya majina kadhaa kupita msimbazi kama makolo fc, mbumbumbu fc,mikia fc
leo timu kubwa ya uganda vipers sc kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wamewapa jina jipya hawa ndugu zetu.
Jina ilo ni Zuwena fc.
Hapo vipi watani tuendelee na makolo au zuwena fc?
Mpira na maneno , ikiwemo mwembwe na madoido ni kawaida.Nenda kwenye page za vipers.
Ila zuwena anafanana na Tuisila KisindaWakuu maajabu huwa hayaishi bunju. baada ya majina kadhaa kupita msimbazi kama makolo fc, mbumbumbu fc,mikia fc
leo timu kubwa ya uganda vipers sc kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii wamewapa jina jipya hawa ndugu zetu.
Jina ilo ni Zuwena fc.
Hapo vipi watani tuendelee na makolo au zuwena fc?
Mbona wamesimama kiunyonge?Official account ya vipers[emoji23][emoji23]View attachment 2538907
Kumbe kula ugali na sukari ni dhihaka! Ilikuwaje sasa huyo Fei Toto akala chakula cha dhihaka? Alikosa kweli hata hela tu ya kununulia kauzu, bamia, mchicha, au nyanya chungu, ili alie na ugali?Fadhila ni Karama...!
Utopolo mmekosa Fadhila...!
Mama Yake Fei Toto... !
Kweli ndio muwakusanye Watu Wa Sokoni Wale Ugali Kwa Sukari ili Mumdhihaki Mama.!
Bila Kujali mchango Wake? Mama Mzaa chema..!
China siyo Ulaya mkuu, usichanganye!Kwasababu imeuza wachezaji wengi Ulaya.
Kwani vipers wameuza wachezaji china tu?China siyo Ulaya mkuu, usichanganye!
Achana na utopolo kuna ingizo jipya ZUWENA FC.Ila jina maarufu mpaka sasa ni utopolo.