Vipers SC waikejeli simba SC kwa kuiita zuwena fc

Haibadilishi kipigo chao kipo palepale
Utopolo msisahau kuwapokea airport
 
Ila zuwena anafanana na Tuisila Kisinda
 
Famasiala nini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 

Attachments

  • 20230306_112042.jpg
    171.8 KB · Views: 3
Fadhila ni Karama...!

Utopolo mmekosa Fadhila...!

Mama Yake Fei Toto... !

Kweli ndio muwakusanye Watu Wa Sokoni Wale Ugali Kwa Sukari ili Mumdhihaki Mama.!

Bila Kujali mchango Wake? Mama Mzaa chema..!
Kumbe kula ugali na sukari ni dhihaka! Ilikuwaje sasa huyo Fei Toto akala chakula cha dhihaka? Alikosa kweli hata hela tu ya kununulia kauzu, bamia, mchicha, au nyanya chungu, ili alie na ugali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…