Vipers yamtaka Mayele kwa milioni 200

Vipers yamtaka Mayele kwa milioni 200

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1683102513609.png

Mabingwa mara nne wa Ligi Kuu Uganda, Vipers SC wameweka dau mezani kwa nia ya kumshusha kikosi hapo straika matata wa Yanga, Fiston Mayele msimu ujao.

Chanzo chao kimeeleza kuwa uongozi wa klabu hiyo umeanza mazungumzo yakimuhusisha meneja wa mchezaji huyo pamoja na uongozi wa Yanga.

"Ndiyo, Vipers wameonyesha dhamira ya kumsaini Mayele kupitia wakala wake na Yanga wenyewe," kilieza chanzo hicho na kuongeza;

"Wameshaweka ofa yao ya kwanza mezani ambayo ni kati ya Dola za Marekani 50,000 (Sh117milioni) hadi Dola 100,000 (Sh230milioni) na mazungumzo yanaendelea.

"Vipers inataka kuwa na kikosi imara wakati itakapocheza michuano ya CAF, hasa kama itashinda ubingwa wa ligi au wa Kombe la Uganda."
 

Mabingwa mara nne wa Ligi Kuu Uganda, Vipers SC wameweka dau mezani kwa nia ya kumshusha kikosi hapo straika matata wa Yanga, Fiston Mayele msimu ujao.

Chanzo chao kimeeleza kuwa uongozi wa klabu hiyo umeanza mazungumzo yakimuhusisha meneja wa mchezaji huyo pamoja na uongozi wa Yanga.

"Ndiyo, Vipers wameonyesha dhamira ya kumsaini Mayele kupitia wakala wake na Yanga wenyewe," kilieza chanzo hicho na kuongeza;

"Wameshaweka ofa yao ya kwanza mezani ambayo ni kati ya Dola za Marekani 50,000 (Sh117milioni) hadi Dola 100,000 (Sh230milioni) na mazungumzo yanaendelea.

"Vipers inataka kuwa na kikosi imara wakati itakapocheza michuano ya CAF, hasa kama itashinda ubingwa wa ligi au wa Kombe la Uganda."
Mayele bila bilion 1.5 na kuendelea hatoki hapo jagwani..
 
Feitoto toka aache kucheza thamani yake imeshuka kutoka 1B mpaka 200m.
 

Mabingwa mara nne wa Ligi Kuu Uganda, Vipers SC wameweka dau mezani kwa nia ya kumshusha kikosi hapo straika matata wa Yanga, Fiston Mayele msimu ujao.

Chanzo chao kimeeleza kuwa uongozi wa klabu hiyo umeanza mazungumzo yakimuhusisha meneja wa mchezaji huyo pamoja na uongozi wa Yanga.

"Ndiyo, Vipers wameonyesha dhamira ya kumsaini Mayele kupitia wakala wake na Yanga wenyewe," kilieza chanzo hicho na kuongeza;

"Wameshaweka ofa yao ya kwanza mezani ambayo ni kati ya Dola za Marekani 50,000 (Sh117milioni) hadi Dola 100,000 (Sh230milioni) na mazungumzo yanaendelea.

"Vipers inataka kuwa na kikosi imara wakati itakapocheza michuano ya CAF, hasa kama itashinda ubingwa wa ligi au wa Kombe la Uganda."
You are not serious.
 
Watu wana mihemko tu ila hiyo ndiyo thamani halisi ya Mayele, nathingi moa nathingi lesi. Streka anayecheza mpira wa kizamani wa anao anao.
 
Wangemtafuta George Mpole anafaa sana kwa team Yao Wala wasingejuta
 
Back
Top Bottom