Vipers yamtimua kocha Beto Bianchi

Vipers yamtimua kocha Beto Bianchi

Simba na Yanga zote zikivuka itakuwa ni jambo jema kwa mpira wetu. Upinzani wa kimpira wa timu hizi mbili ukifanywa bila mambo ya hovyo na uharibifu ni jambo zuri. Natamani hata siasa zetu zingekuwa na ushindani kama huu, nchi ingesonga mbele kwa kasi zaidi. Anyway, tuachane na siasa!
All the best kwenu
 
Simba Sc yamfukuzisha kocha wa Vipers.
 
KUFUNGWA NA MBUMBUMBU FC..!!

kwa kweli inahuzunisha sana.. bora akapumzike tu.
 
Exactly. Simba plan yao mpaka sasa kwenye CL iko 100% walishajihakikishia point 6 za Vipers baada ya kumnyofoa Robertinho, walikuwa wanahitaji ushindi wa game moja tu na Horoya na ndicho wanasubiria.

Mipango ndugu yangu, mipango 🤣😂🤣
Kwahiyo simba walivyomtoa huyo kocha makundi yalikuwa yashapangwa?
 
Simba imeshafukuzisha makocha wengi. Hata Nabi alifukuzwa El Mereikh baada ya kupokea kichapo cha Simba
Umeongea jambo sahihi kabisa. Vipi na yeye Nabi sasa tangu alipo hamia Yanga! Ameshawafukuzisha makocha wenu wangapi?

Amewafunga mara ngapi? Mlishawahi kumfunga? Vipi kuhusu ubingwa wa ligi kuu; ameshachukua mara ngapi? Amewafunga mara ngapi kwenye Ngao ya Jamii?
 
Umeongea jambo sahihi kabisa. Vipi na yeye Nabi sasa tangu alipo hamia Yanga! Ameshawafukuzisha makocha wenu wangapi?
Amewafunga mara ngapi? Mlishawahi kumfunga? Vipi kuhusu ubingwa wa ligi kuu; ameshachukua mara ngapi?
Makocha wote walioondoka Simba ni kwa kushindwa either kuingia katika makundi ya Klabu Bingwa au kushindwa kuingia nusu fainali ya CAF clubs competitions. Hakuna kocha aliyeondolewa Simba sababu ya mechi ya Yanga, maana mechi za Simba na Yanga ni za ligi ya NBC maana kule Afrika Yanga ilikuwa haishiriki au inatolewa mapema raundi ya awali, na mechi nyingi za Simba na Yanga zimeishia sare. Tangu Nabi amekuja, ameishinda Simba mara mbili (ngao na AzamSFC), Simba imemfunga mara moja (Kigoma), za ligi zote wametoka sare
 
Makocha wote walioondoka Simba ni kwa kushindwa either kuingia katika makundi ya Klabu Bingwa au kushindwa kuingia nusu fainali ya CAF clubs competitions. Hakuna kocha aliyeondolewa Simba sababu ya mechi ya Yanga, maana mechi za Simba na Yanga ni za ligi ya NBC maana kule Afrika Yanga ilikuwa haishiriki au inatolewa mapema raundi ya awali, na mechi nyingi za Simba na Yanga zimeishia sare. Tangu Nabi amekuja, ameishinda Simba mara mbili (ngao na AzamSFC), Simba imemfunga mara moja (Kigoma), za ligi zote wametoka sare
Pablo ? Zoran?
 
Pablo alitimuliwa baada ya ligi kumalizika bila ubingwa. Zoran yeye hakutimuliwa, ila aliiacha Simba baada ya kupata ofa nono kutoka Al Ittihad ya Misri. Hizo events zote hazina uhusiano na mechi ya Simba vs Yanga
 
Pablo alitimuliwa baada ya ligi kumalizika bila ubingwa. Zoran yeye hakutimuliwa, ila aliiacha Simba baada ya kupata ofa nono kutoka Al Ittihad ya Misri. Hizo events zote hazina uhusiano na mechi ya Simba vs Yanga
mechi ya mwisho ya Pablo ilikua ipi?
 
mechi ya mwisho ya Pablo ilikua ipi?
Sikumbuki, ila najua mechi za Simba na Yanga kwa misimu ya hivi karibuni zimekuwa zikipangwa mwanzoni mwa mizunguko, na huyo aliondoka mwishoni mwa msimu baada ya kukosa ubingwa
 
Back
Top Bottom