mweny uzoef au taarif za uhakika juu ya hili atujuze sis ambao tunategemea ajira hapo mwakn.
Au ndo kusema walim walopelekwa vijijn wameondoa tatz la uhaba wa walimu??
pliz mweny jbu la uhakika karb na so assumptions.
N.B (kwa masomo ya arts namaanisha).
Sawa,sasa kama unakubaliana na ushauri wangu basi ungeonyesha kwa vitendo.Mfano;sante=asante,kw=kwa,ushaur=ushauri.
Mapungufu haya si madogo ni makubwa kwa mtu kama wewe.Ni hayo tu mkuu!