Vipi CHADEMA mna hali gani huko baada ya kifo cha Magufuli? Akina Halima Mdee wamefukuzwa ubunge? Tundu Lissu na Lema wamerudi Tanzania?

Yule ibilisi aliivuruga sana nchi hii kuondoka kwake ni ukombozi kwa nchi nzima na siyo kwa Chadema pekee. Ashukuriwe Mungu kutuamulia huu ugomvi.
 
Chadema ni chama cha wachaga, mchaga akishaona pesa anasahau kila kitu alichokisema jana. Mnakumbuka lowassa alipokuja na mamilioni yake pale wakampa ugombea bila utaratibu wa chama

Leta jipya. Hilo lishachuja. Maji yamewashinda mmehamia CHADEMA. Shughulikieni maji kwanza achaneni na CHADEMA. Kuna mtu alijifanya mbabe kupigana na CHADEMA kilichomtokea Hadi mauti.
 
Leo nimebishana na jitu fkn HV la CDM kuhusu magufuli kanikera Yule jmaa

Nikamuuliza kwani sas Hali Ni mbaya nyinyi mlishangilia magu kaondoka sas mnaliliakila saa nin shida

Magu alikuwa shetani. Yule hakuwa binadamu. Hali mbaya ya Sasa wakulaumiwa Ni CCM na sera zao, lakini haifuti ufedhuli wa yule ibilisi.
 
Hakika yule Mhutu alikuwa ibilisi katika maumbile ya binadamu
 
Mama Samia anakunyosha utapata depression mwaka huu.

Kibao kimegeuka umekuwa wakulalamika asubuhi na mchana😅😅
 
Hii kadhia isingemwacha salama
 
Jeipimu alikuwa mwoga sana na TAPELI WA kisiasa
 
Sisi tunafuraha isiyo kifani baada ya hilo zimwi kupelekwa motoni. Vipi na nyie misukule yake mbajisikiaje kwenye utawala wa awamu ya sita asali mnalambishwa? Vibwengo wakubwa nyie.
 
Shetani yule muuaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…