Vipi hiyo mikopo ya vyuoni mpaka lini tutapatiwa?

Vipi hiyo mikopo ya vyuoni mpaka lini tutapatiwa?

ANKO THOBIAS

Member
Joined
Sep 16, 2013
Posts
21
Reaction score
0
Kama kuna m2 mwenye uelewa kuhusu kugawiwa kwa BOOM ni ln
maana wa2 wanahaha hasa waliowahi kufungulia vyuo kama mwenge
 
Kwani Mwenge mmefungua Chuo lini? ila kwa kawaida hua ni baada ya wiki moja hadi mbili,registration inapokamilika Acc zenu zinaingizwa kwenye system then ndo Mnapata Pesa,kua na subra ndo hali ya Vyuo vikuu hiyo,hizo pesa inakubidi uwe na subira sana kama unaweza kopa mahala, then ukipata Pesa unalipa,usiishi kwa stress kila siku unawaza Pesa,tuliza nafsi na utafte Alternative kwa Muda Huu mfupi.
 
Kama kuna m2 mwenye uelewa kuhusu kugawiwa kwa BOOM ni ln
maana wa2 wanahaha hasa waliowahi kufungulia vyuo kama mwenge

Mbona lishatoka........hahahhahha....litatoka kesho....huhuhuhhhhh........subr alitok ng'ooooo bhaaacccccc nimemaliza overrrrrrrrrrrrr!!!!!!!
 
Wenzio tuna mwezi wa pili sasa tunaishi bila boom hapa SAUT.

Komaa bana ipo siku litatoka.
 
Napita...
Lakini sisi enzi zetu tulikuwa tofauti kidogo...
Tulikuwa tunaulizana maswali ya aina hii;
Mtihani lini?
Mbona assignment imechelewa?
Presentation zimeadimika?
 
Napita...
Lakini sisi enzi zetu tulikuwa tofauti kidogo...
Tulikuwa tunaulizana maswali ya aina hii;
Mtihani lini?
Mbona assignment imechelewa?
Presentation zimeadimika?

We dada paparazzi mbona sikuelewi.........we si umefeli fomu 6...na unaenda kusoma diploma ya prokyuament tia....hizo enz zipi tena??...au unaxemea ukiwa makongo?????...overrrrrrrr
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom