Vipi ikitokea Liverpool ikakutana fainali na Real Madrid! Je, nani atabeba ndoo?

Kama madrid nusu fainali hatopangiwa barca basi atafika fainali,,,liva hana uwezo wakumfunga yoyote kati ya madrid,barca au munich

Kt watu ambao hawajui mpira duniani wew ndo mmoja wapo.. hakuna neno "haiwezekani" kwenye mpira unaowakutanisha timu zilizo kwenye rank moja, uliamini city atakufa 3 bila?

Uliamini Seville atamtoa man u ugenini?? Je spurs kumpiga 3 Chelsea nyumban?? Unakumbuka 2005 ucl final?? Usichambua mpira kwa kuangalia wew una mapenz na timu gani, au timu gani humpendi.. football is a science, ni mchezo wa mbinu.. mbinu zikiwin against timu pinzani unampiga km mtoto.. na ndo maana man u alimpiga arsenal goli 8..
 
Mimi nakuambia haiwezekan...na nilijua liva atavuka round hii,,na pesa nilimwekea kabisa,ila hapa ndio mwisho wake hana pakwenda tena
 
Hakuna timu ya Uingereza ambayo inaweza kuitambia Real Madrid, kwa vyovyote vile wakikutana Real Madrid lazma abebe ndoo
Liverpool imewahi kumtoa Madrid lakin pia imewahi kumtoa Barcelona kwenye UCL tena ya dinho
 
Hili kombe ni la Liverpool vyovyote itakavyokua,watoto wana moto balaa
 
Ndg washabiki wa mpira hasahasa wa timu za ulaya,jana tumeshuhudia kiwango bora kbs cha timu ya liverpool ikiitafuna man site bao 3 kw nunge,hebu tuchangie maoni yetu,liverpool ikikutana na Realmadrid,je nani atabeba kombe?
Hapo ni sawa na kumpambanisha sisimizi na tembo.
 
Defence mbovu kiaje ikiwa game ya mwisho barca alimpiga Madrid 3-0

Barca ni unbeaten mpaka sasa in Europe sasa huo ubovu wa beki unatoka wapi?
Kwani kabla ya hiyo game ya tatu bila ilikuwaje mkuu.au kipimo chako wewe ni hiyo game pekee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…