Vipi ikitokea Liverpool ikakutana fainali na Real Madrid! Je, nani atabeba ndoo?

Alishindwa kuwafunga Roma????acha upuuzi huo aiseee

Roma kitu gani wewe 😀😀😀!! Mbona hushangai kazifunga timu kubwa zaidi ya Roma!!!
Real Madrid...Chelsea.. Man city..Arsenal..Man u..Juve..Bayern...Bayern leverkusen...Psg...Atletico madrid N.K. kwahiyo ROMA ndio umeona tim ngumu sana kwake sio??? Messi ni mchezaji wa kipekee kuwahi kutokea Asipofunga anatengeneza au kutoa assist kwa wenzie.


MESSI NDIO INJINI YA BARCA
 
Unasema timu kubwa wakati ameshindwa kuwafunga Roma juzi pamoja na kuparangana kote
 
Unasema timu kubwa wakati ameshindwa kuwafunga Roma juzi pamoja na kuparangana kote

Hiyo inatokea tu. Anaweza akakutana hata na Yanga na asifunge. Ila akikutana na matim makubwa anayanyanyasa sana na ndio kawaida yake Mungu kamjaalia.kama unakumbuka 2008 kama sikosei akiwa na umri wa miaka 20, freekick ya kwanza kabisa kawapiga REAL MADRID + freeckick zingine kibao
 
Sasa ndo itatokea kwa timu zingine usiwe unajipa matumaini makubwa naye ni binadamu
 
Liverpool ninachojua anafanya miujiza kama ya uwanja wa Mustafa Kemal a.k.a Atatürk 2005.mzimu wa Billy Shankly umeamua against all odds it is Liverpools time now.YWNWA 4 everrrrr
 
Kwa hatua hii hakuna suala la upangwe na nani, suala ni kupambana tuu, yoyote utakayekutana naye pambana..unaweza ombea upangwe na timu fulan huko ndio ukapigwa vizuri, timu zote ziko vizuri, ila naotea Madrid vs Bayern, Liver vs Barca
 
Sure kabisa, barcelona timu anayoweza kuifunga ni madrid tu. Kwa mpira wao ulivyowakifala hawezikumfunga liver au bayern
 
Ila jamani mipira hii haieleweki. Tusishangae kuna timu ilikua mbele goli tatu mechi ya kwanza alafu ikatolewa. Tambueni kunatimu zenyewe mtu flani asipokua na mood ya kufunga lazma zifungwe tu. Miujiza miujiza Inatokeaga mda mwingine.
 
Pia Wakuu mkumbuke licha ya City kupigwa 3 bila Na liver ,usije ukashangaa j4 liver anataka Na city anaendlea....so city si wa kuwadharau kwan wana hasira pia ya kupigwa Na man u Jana......me nasema hivi city anamtoa liver.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…