Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Nilishasahau kabisa mzee wa dakika ya 89Jasusi mbobezi alidai kuwa atafunga kampeni zake huko kwao.
Sijamsikia tena tokea siku hiyo.
Je, alifanikiwa kuzifunga hizi kampeni zake kama alivyoahidi au?
Na sijaona wala sijasikia popote kuwa leo alipiga kura yake.
Kuna anayejua kinachojiri kwa huyo jasusi wetu mbobezi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1615116
Jamaa ni kituko aisee.Nilishasahau kabisa mzee wa dakika ya 89
πππππππππ
Kila siku najiuliza mbona hizo sifa wanazombwagia mbona mimi sizioni?Jamaa ni kituko aisee.
Anaongoza kwa mbali katika vituo kadhaaHivi Nyarandu yupo?