Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Raha Sana MAGUFULI kutuvusha awamu nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishasahau kabisa mzee wa dakika ya 89Jasusi mbobezi alidai kuwa atafunga kampeni zake huko kwao.
Sijamsikia tena tokea siku hiyo.
Je, alifanikiwa kuzifunga hizi kampeni zake kama alivyoahidi au?
Na sijaona wala sijasikia popote kuwa leo alipiga kura yake.
Kuna anayejua kinachojiri kwa huyo jasusi wetu mbobezi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1615116
Jamaa ni kituko aisee.Nilishasahau kabisa mzee wa dakika ya 89
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kila siku najiuliza mbona hizo sifa wanazombwagia mbona mimi sizioni?Jamaa ni kituko aisee.
Anaongoza kwa mbali katika vituo kadhaaHivi Nyarandu yupo?