Vipi jeshi lipo kwa wahitimu wa kidato cha 6?

Edo nyanda

Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
46
Reaction score
5
Wadau naomba mnisaidie kunitaarifu kama wahitimu wa kidato cha 6 wataenda jeshi baada ya mtihani wa mwisho
 
Wadau naomba mnisaidie kunitaarifu kama wahitimu wa kidato cha 6 wataenda jeshi baada ya mtihani wa mwisho

jeshi kama kawa dogo...!
kwa taarifa zaidi check www.jkt.go.tz
 
kurutu watarajiwa kafundishweni maisha siyo usharobaro, usisterduu,bali ni uzalishaji mali ukakamavu na ulinzi wa taifa
 
Hutaki kwenda?? Kama ndivyo anza kutafuta sababu ya ugonjwa fastaa
 
kule hata wagonjwa wanaenya tu coz huwa wanapewa kazi nyepesi ya kufagia eneo ambalo huku uraiani hata kama mzima lazima uchoke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…