vipi kuhusu internet ya tigo?

vipi kuhusu internet ya tigo?

Mkuu, unajua tofauti ya Mbps na Mb/s, Kbps na Kb/s?
hakuna tofauti mkuu Mbps ni sawa na Mb/s so as Kbps na Kb/s
hiyo p ina simama badala ya (per) mathematically ni sawa na kuiwakilisha kwa alama ya ( / )
 
Nikiwa na modern ya tigo najiunga vipi, ili niweze kupata huduma hii ya internet
 
Ya Zantel inaniboa hapa. Mwanzoni ilikuwa na speed bab kubwa (one year ago). Lakini sasa inazorota na kudorora kama foleni za Dar. Nadhani watumiaji tumekuwa lukuki. They need to do something kwakweli!!
You have to do something kwa kweli!
Hama huko!
 
hakuna tofauti mkuu Mbps ni sawa na Mb/s so as Kbps na Kb/s
hiyo p ina simama badala ya (per) mathematically ni sawa na kuiwakilisha kwa alama ya ( / )

Nadhani siku weka swali langu vizuri... Ningependa sana tupeane elimu juu ya ili swala, umeme ukirudi nitakufafanua zaidi nilichokuwa maanisha, unajua hii mitandao yetu inatuibia sana kwa kutumia lugha zao ya kibiashara.
 
Mbps Stands for "Megabits Per Second." One megabit is equal to one million bits or 1,000 kilobits.
so 1.4Mbps is equal to 1400Kbps
Mkuu, nilichokuwa na kimaanisha kama ukipewa Bandwdith ya Speed ya 312Kbps ambayo ni sawa na (39kb/s)
Kbs.JPG
 
Wakuu msaada; nina Modem ya 3Connect Huawei Model E156G HSDPA USB Stick, nimeichakachua kwa kutumia Sola GSM Calculator ikaniambia SIM Card Accepted lakini nikiweka line yoyote iwe ya TIGO au VODA nikilaunch Application yake inasema SIM CARD NOT ACCEPTED nifanyeje hapa wandugu?
 
nilipita leo katika costumer care zao nilipo wauliza walisema wana charge kwa amount uliyo weka na siyo size ya MB or GB ndiyo maana waka ziweka kwenye three type ambayo ni light,standard,max ambayo light ni kwa ajili ya browes tuu ambayo huwezi kudownload,kwenye standard inauwezo mkubwa zaidi ya light lkn max ipo sawa unaweza kufanya kila kitu ambayo kwa mwezi ni 25,000.Sema mimi ya zantel nimeikubali sana kuliko hata ya airtel na tigo
 
Mkuu, nilichokuwa na kimaanisha kama ukipewa Bandwdith ya Speed ya 312Kbps ambayo ni sawa na (39kb/s)
View attachment 23992

Mkuu Mganyizi ni hivi

KBps = Kilobytes (1024 bytes) per second (binary)


Kbps = Kilobits (1024 bits) per second (binary)


Most browsers and a lot of FTP programs show transfer rates in KBps (kilobytes per second). So in order to get the approximate number of Kbps (kilobits per second) you need to know that there are 8 Kb (kilobits) in every KB (kilobyte). Thus if your browser is showing that you are downloading a file at 39KBps you would then multiply 39 times 8 which would translate to 312 Kbps n kunyume chake kama browser inaonesha 312Kb/s utaigawanya kwa nane ndio utapata 39KB/s
nadhani utakuwa umenipata vizuri
 
nilipita leo katika costumer care zao nilipo wauliza walisema wana charge kwa amount uliyo weka na siyo size ya MB or GB ndiyo maana waka ziweka kwenye three type ambayo ni light,standard,max ambayo light ni kwa ajili ya browes tuu ambayo huwezi kudownload,kwenye standard inauwezo mkubwa zaidi ya light lkn max ipo sawa unaweza kufanya kila kitu ambayo kwa mwezi ni 25,000.Sema mimi ya zantel nimeikubali sana kuliko hata ya airtel na tigo


Tatizo la tiGO ni wezi kama walivyo mitandao mingine...Jana nimenunue modem nikajiunga na package ya light ya day ambayo ndio imemalizika mda huu..

Nilichogundua ni kwamba package zao zina limit ambazo wao hawajaziweka wazi kwa mfano ukijiunga na package ya light day internet ya TSH unapewa 200MB na usipoimaliza kwa siku inaendelea hadi itakapoisha,pia hii package unapewa Speed ya 600kbps


Ukiwa huna package yoyote ila modem yako inapesa unaweza kuituma maana wanakulimit speed ina kuwa ndogo kweli hataifiki 5Kbps. hivyo nadhani ukijiunga na package ya Standard Speed inaongezeka kuliko ile ya Light na hivyo hivyo kwa MAX speed inapanda zaidi...


Hizi package za Light na Standard zila limit ya Speed ya mtandao na uwezo wa ku-Download.


Name:
Number: 100
Content:
You have reached your package usage threshold of 204800Kbytes. Your speed will be changed now.
Time: 27/02/2011 19:26:53

 
mganyizi hii inapatikana vipi? 312Kbps= 39kb/s?

kuna kilobits(Kb) 8 katika kila kilobyte(KB) moja
kama tranfer rate ni 39KB/s unatakiwa uizidishe mara nane yaani 39*8bits ndio utapata hiyo 312Kbps
 
Tigo wako kwa watumiaji wa Dar-es-salaam ila kwa sisi wa mikoani jamani tusiangaike nayo kwa sababu bado hawajaanza huduma mikoani. TTCL, VODA, ZANTEL & AIRTEL are the Upcountry saviors jamani. Go for TTCL wana Unlimited Bundles and wako fast connected to Optic Fibre Cable yani inakuwa hakuna Network Interference kama wanaotumia Satellites.

Karibu mitandao yote ya simu hapa Tanzania wamejiunga na fibre optic.
 
@mnganyizi: ila kwa research ndogo ambayo nimefanya nimeona kuwa bado wanatumia Satellite in case of Data na ni Zantel Dar tu ndio ambao wameclaim kwamba wameshaconnect na optic fibre. Je kwa mikoani kama Ruvuma, Kigoma na hata Rukwa wameshaunganisha? Naomba kama una ducuments zozote za kama hii mitandao mingine wamesha-connect na optic fibre kwa mikoani kama utakuwa nayo mkuu.
 
So far, net ya airtel ni nzuri. Modem 65,000 na ukiweka buku 3, unaeza kutumia kwa mwezi mzima (kila siku). It appears to be too good to be true, huenda wanafanya promotion, so usijeshangaa baada ya muda wanapandisha bei au inakuwa na spidi ndogo kwa kadiri watu wengi wanavyojiunga.

Nakubaliana na wewe,mkuu hawa airtel wako poa so far japo sometimes speed yao huwa inaboa.TTCL nao niliwahi kusikia wana portable modem ila sijui wanaziuzaje ila kama speed yao ni kama ya ttclbroadband watakua safi sana.
 
mkuu, nimenunua modem ya tigo leo, nimeitumia kwa saa kadhaa hivi, speed ambayo nilikuwa napata ni 600kps ambayo ni sawa na 60kb/s ambayo kwangu ni kubwa kwa kweli...

nimeichakachua nikaweka line ya voda, voda speed yake ni ndogo kulinganisha na niliyoipata kwenye tigo,

airtel nimeweka line yake imekubali, kwa kuwa sijaisajili sikuweza kuinganisha kwenye net, hivyo siwezi jua speed yao...

inachakachulika? Yangu imegoma nipe ma ujanja basi
 
Back
Top Bottom