Vipi likitokea tetemeko la Ufa au Tsunami Dar? Ghorofa za mji zitahimili?

Vipi likitokea tetemeko la Ufa au Tsunami Dar? Ghorofa za mji zitahimili?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Majanga ya asili duniani yapo na yanaweza kutokea muda wowote. Kuna maeneo mfano Asia nchi kama za Japan, China, Indonesia, Uturuki, Iran n.k wao matetemeko ya ardhi ni sehemu ya maisha, nchi kama Marekani wao vimbunga ni sehemu ya maisha. Hizi nchi wanajipanga sana kupunguza madhara ya haya majanga muda wowote endapo yatatokea.

Sisi inawezekana hatuko kwenye ukanda wa majanga ya aina hii lakini haimaanishi kwamba hayatatokea kabisa. Sasa tujiulize endapo siku moja tetemeko hata la wastani tu litatokea Dar haya maghorofa ambayo watu wana mashaka na viwango vyake vya ujenzi, nondo hazielweki, yataweza kuhimili kweli hali hiyo? Hii miundombinu ya Kariakoo ambayo hata sehemu za wazi za kukusanyia watu 3,000 ni kama hakuna itaweza kuhimili? Hizi timu au tume za uokozi za kujivuta zina uwezo kupunguza maafa ya vifo??
Tunaweza kuendelea kufanya maombi na kusema "tusiombee hayo"
 
Tusiimagine tungoje picha kamili japo hatuombei hivyo ila majengo mengi yanajengwa chini ya viwango, hii nchi rushwa ndio chanzo kikubwa cha mambo kwenda hovyo hovyo na wanaochangia hili la rushwa kukithiri ni uongozi usiowajibika. Kazi ni mapambio kila uchwao mithili ya Lucas Mwashambwa

Ifike mahali mama nae akatae jina lake kuimbwa imbwa kila mara, hii ni shida.

FB_IMG_17318211780847496.jpg
 
Hakuna neno linanikera kama kutaja awamu za viongozi kila wakati. Kwani angesema tunaishukuru serikali kwa kufanya ......... angepungukiwa na nini? Uchawa unapunguza kitu kwenye ubongo wa machawa.
Tusiimagine tungoje picha kamili japo hatuombei hivyo ila majengo mengi yanajengwa chini ya viwango, hii nchi rushwa ndio chanzo kikubwa cha mambo kwenda hovyo hovyo na wanaochangia hili la rushwa kukithiri ni uongozi usiowajibika. Kazi ni mapambio kila uchwao mithili ya Lucas Mwashambwa

Ifike mahali mama nae akatae jina lake kuimbwa imbwa kila mara, hii ni shida.

View attachment 3154251
 
Ni balaa, itabidi nchi ipate msaada wa uoakoaji toka nje. Hebu fikiria pale moshi volkano ilipuke toka mlima kilimanjaro sidhani kama nchi hii ina vifaa vya kutosha kuokoa watu kutokana na janga hilo. Mafuriko tu huwa serikali inatokwa jasho jingi haina vifaa vya uokoaji vya kutosha na haijajiandaa licha ya kuwa ina idara na taasisi za kushughulika na majanga na uokoaji
 
Tusiimagine tungoje picha kamili japo hatuombei hivyo ila majengo mengi yanajengwa chini ya viwango, hii nchi rushwa ndio chanzo kikubwa cha mambo kwenda hovyo hovyo na wanaochangia hili la rushwa kukithiri ni uongozi usiowajibika. Kazi ni mapambio kila uchwao mithili ya Lucas Mwashambwa

Ifike mahali mama nae akatae jina lake kuimbwa imbwa kila mara, hii ni shida.

View attachment 3154251
Muone sura yake🤣🤣🤣
 
Ni balaa, itabidi nchi ipate msaada wa uoakoaji toka nje. Hebu fikiria pale moshi volkano ilipuke toka mlima kilimanjaro sidhani kama nchi hii ina vifaa vya kutosha kuokoa watu kutokana na janga hilo. Mafuriko tu huwa serikali inatokwa jasho jingi haina vifaa vya uokoaji vya kutosha na haijajiandaa licha ya kuwa ina idara na taasisi za kushughulika na majanga na uokoaji
Hata hizo nchi zilizoendelea linapokuja majanga wanasaidiana nchi zote hakuna anayeweza peke yake. Sasa unataka watumie mabilioni ili iweje? unaponunua vifaa unaangali na risk kwa maana uwezekano wake kutokea, mara ngapi imetokea na hasara zake zikitokea ndio inaamua nini kinahitajika. Sisi moto ndio number moja majanga kama vimbunga hatuna huku inaweza kutokea lakini sio shida kwetu, mvua kwa maana mafuriko ni kuboresha tu miundombinu sio kununua vifaa. Sasa tuambie vifaa gani unataka kununua..
 
Ni balaa, itabidi nchi ipate msaada wa uoakoaji toka nje. Hebu fikiria pale moshi volkano ilipuke toka mlima kilimanjaro sidhani kama nchi hii ina vifaa vya kutosha kuokoa watu kutokana na janga hilo. Mafuriko tu huwa serikali inatokwa jasho jingi haina vifaa vya uokoaji vya kutosha na haijajiandaa licha ya kuwa ina idara na taasisi za kushughulika na majanga na uokoaji
Mara ya mwisho volcano kutokea ni lini? hununui kitu kwa jambo linaweza kutokea mara moja kwa miaka 50 akili ya kawaida tu.
 
Tusiimagine tungoje picha kamili japo hatuombei hivyo ila majengo mengi yanajengwa chini ya viwango, hii nchi rushwa ndio chanzo kikubwa cha mambo kwenda hovyo hovyo na wanaochangia hili la rushwa kukithiri ni uongozi usiowajibika. Kazi ni mapambio kila uchwao mithili ya Lucas Mwashambwa

Ifike mahali mama nae akatae jina lake kuimbwa imbwa kila mara, hii ni shida.

View attachment 3154251
Aiseee kwa akili hizi za uchawa nadhani ndio maana taifa lina struggle. Iiipiga tsunami ikaondoka na maghorofa kadhaa ? Watasema hivi
 
Hata hizo nchi zilizoendelea linapokuja majanga wanasaidiana nchi zote hakuna anayeweza peke yake. Sasa unataka watumie mabilioni ili iweje? unaponunua vifaa unaangali na risk kwa maana uwezekano wake kutokea, mara ngapi imetokea na hasara zake zikitokea ndio inaamua nini kinahitajika. Sisi moto ndio number moja majanga kama vimbunga hatuna huku inaweza kutokea lakini sio shida kwetu, mvua kwa maana mafuriko ni kuboresha tu miundombinu sio kununua vifaa. Sasa tuambie vifaa gani unataka kununua..
boti na ngalawa plus lifebouy jackets
 
Mara ya mwisho volcano kutokea ni lini? hununui kitu kwa jambo linaweza kutokea mara moja kwa miaka 50 akili ya kawaida tu.
lakini stand bye equipments za uokozi ni muhimu kuandaliwa endapo eneo fulani kuna asili ya kutokea janga mahali hapo. Haijalishi litatokea lini lakini kuna pattern zinazoashiria panaweza uwezokano wa kutokea janga, tahadhari ni muhimu
 
lakini stand bye equipments za uokozi ni muhimu kuandaliwa endapo eneo fulani kuna asili ya kutokea janga mahali hapo. Haijalishi litatokea lini lakini kuna pattern zinazoashiria panaweza uwezokano wa kutokea janga, tahadhari ni muhimu
Hununui kitu mpaka ufanye risk assesment nchi yetu haina majanga ya asili kama vimbunga na mitetemeko ya ardhi hata volcano, mambo mengi tunaweza kuyahimili kwa kuandaa tu miundombinu. Hii nchi kama tungekuwa na majanga ya vimbunga hata kama tungenunua vifaa vya dunia nzima nyumba zetu za Dar ikija kimbunga cha KM 80 tu kwa sasa basi nakuhakikishia hakuta baki hata na nyumba moja na paa, haya mapaa yameshaoza kutu tupu mji mzima tutaenda kuchoma tetenasi. Mungu anatupenda tu lakini kama kinakuja hakuna nyumba au mti utabaki.
 
Majanga ya asili duniani yapo na yanaweza kutokea muda wowote. Kuna maeneo mfano Asia nchi kama za Japan, China, Indonesia, Uturuki, Iran n.k wao matetemeko ya ardhi ni sehemu ya maisha, nchi kama Marekani wao vimbunga ni sehemu ya maisha. Hizi nchi wanajipanga sana kupunguza madhara ya haya majanga muda wowote endapo yatatokea.

Sisi inawezekana hatuko kwenye ukanda wa majanga ya aina hii lakini haimaanishi kwamba hayatatokea kabisa. Sasa tujiulize endapo siku moja tetemeko hata la wastani tu litatokea Dar haya maghorofa ambayo watu wana mashaka na viwango vyake vya ujenzi, nondo hazielweki, yataweza kuhimili kweli hali hiyo? Hii miundombinu ya Kariakoo ambayo hata sehemu za wazi za kukusanyia watu 3,000 ni kama hakuna itaweza kuhimili? Hizi timu au tume za uokozi za kujivuta zina uwezo kupunguza maafa ya vifo??
Tunaweza kuendelea kufanya maombi na kusema "tusiombee hayo"
Hakibaki kitu.
 
Back
Top Bottom