Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Vipi kwa wale mlio na "macho marefu" mpaka huko jikoni je yaliyomo yamo?
Soma vizuri madaHahahahaha!! Kuajiriwa mtihani mno. Leo tarehe 15 unaulizia Salary Kweli?
Pole kiongozi wala uwazi kuwa kesho kazi zako zitaendaje?
Tegemea mapovu mengi mkuu
Duuh aibu ilioje from libibi
Hio document haina uhakika usiiaminiDuuh aibu ilioje from libibi
.....ishikilie japo kidogo akili aliyokupa Mungu.Duuh aibu ilioje from libibi
Hii ya 22/23
Naam kwa walimu nyongeza haibadiliki kutokana na darajaHii ya 22/23