Mr Geniuz Km
Member
- Aug 27, 2017
- 16
- 15
Hali ya vyama vya siasa zikoje katika maeneo yenu katika uchaguzi huu mdogo wa Serikali za mitaa , na je , Muamko wa wananchi ni wakiwango gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni wazi CCM itashinda mitaa na vijiji vyote nchini, hamasa na shauku ya wapiga kura wa CCM na wanainchi wote huku nilipo ni kubwa mno..Hali ya vyama vya siasa zikoje katika maeneo yenu katika uchaguzi huu mdogo wa Serikali za mitaa , na je , Muamko wa wananchi ni wakiwango gani?
Tumbo halina adabuni wazi CCM itashinda mitaa na vijiji vyote nchini, hamasa na shauku ya wapiga kura wa CCM na wanainchi wote huku nilipo ni kubwa mno..
wamejiandikisha kwa wingi mno kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa Nov 27, 2024, na wameboresha taarifa zao kwaajili ya uchaguzi mkuu wa Oct.2025,
na kila moja anatamani na ana shauku ya kuweka historia ya kuchagua Rais mwanamke Tanzania 🐒
Hamasa ni kubwa sana kwakweli...
Mungu Ibariki Tanzania
wanainchi wakishaamua bana,Tumbo halina adabu
Kama ni mzee kiumri ndiyo umeandika haya, tunakusamehe maana unakaribia kufa. Lkn kama ni kijana, basi nakutahdharisha bangi siyo nzuri.CCM itashinda kwa kura kibao
- Rais ni CCM
- Wabunge watatoka CCM
- Madiwani CCM
- Serikali za mitaa CCM
You are a graduate foolni wazi CCM itashinda mitaa na vijiji vyote nchini, hamasa na shauku ya wapiga kura wa CCM na wanainchi wote huku nilipo ni kubwa mno..
wamejiandikisha kwa wingi mno kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa Nov 27, 2024, na wameboresha taarifa zao kwaajili ya uchaguzi mkuu wa Oct.2025,
na kila moja anatamani na ana shauku ya kuweka historia ya kuchagua Rais mwanamke Tanzania 🐒
Hamasa ni kubwa sana kwakweli...
Mungu Ibariki Tanzania
Wapi huko ambako tayari wamejiandikisha Kwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa !!?? Wakati linaanza kuandikishwa tarehe 11!?? Uchawa umezidi kiwango Sasa .... Vitu vya wazi hivi unadanganya eti huku wamejiandikisha na wapo tayari..... Asee we ni kiazi mbatatani wazi CCM itashinda mitaa na vijiji vyote nchini, hamasa na shauku ya wapiga kura wa CCM na wanainchi wote huku nilipo ni kubwa mno..
wamejiandikisha kwa wingi mno kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa Nov 27, 2024, na wameboresha taarifa zao kwaajili ya uchaguzi mkuu wa Oct.2025,
na kila moja anatamani na ana shauku ya kuweka historia ya kuchagua Rais mwanamke Tanzania 🐒
Hamasa ni kubwa sana kwakweli...
Mungu Ibariki Tanzania
Acha utoto, wamejiandikisha lini wakati zoezi hilo bado hadi tarehe 11? Nikusaidie tu, watu hawako tayari tena kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi. Kitendo cha ccm kulazimisha kukaa madarakani kwa shuruti kimefanya watu kudharau box la kura. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya box la kura.ni wazi CCM itashinda mitaa na vijiji vyote nchini, hamasa na shauku ya wapiga kura wa CCM na wanainchi wote huku nilipo ni kubwa mno..
wamejiandikisha kwa wingi mno kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa Nov 27, 2024, na wameboresha taarifa zao kwaajili ya uchaguzi mkuu wa Oct.2025,
na kila moja anatamani na ana shauku ya kuweka historia ya kuchagua Rais mwanamke Tanzania 🐒
Hamasa ni kubwa sana kwakweli...
Mungu Ibariki Tanzania
Ogopa wajinga wakiwa wengi wanaweza kuchagua RaisWapi huko ambako tayari wamejiandikisha Kwa Uchaguzi wa Serikali za mitaa !!?? Wakati linaanza kuandikishwa tarehe 11!?? Uchawa umezidi kiwango Sasa .... Vitu vya wazi hivi unadanganya eti huku wamejiandikisha na wapo tayari..... Asee we ni kiazi mbatata
Hilo nalo neno.Ogopa wajinga wakiwa wengi wanaweza kuchagua Rais
KumepoooaHali ya vyama vya siasa zikoje katika maeneo yenu katika uchaguzi huu mdogo wa Serikali za mitaa , na je , Muamko wa wananchi ni wakiwango gani?
Ni kama uchaguzi huo utafanyika huko uwanja wa Benjamin Willium Mkapa kwani mtaani hatujui kama kuna mambo hayo.Hali ya vyama vya siasa zikoje katika maeneo yenu katika uchaguzi huu mdogo wa Serikali za mitaa , na je , Muamko wa wananchi ni wakiwango gani?