Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Qur'an 29:48Kwanza sikubaliani na wewe kuwa Muhammad mfanyabiashara mkubwa na Mtunzi wa Mshairi kuwa alikuwa hajui kusoma na kuandika
Pili kama ninavyokueleza haya mambo aliyoyaandika Muhammad yalikuwepo miaka na miaka kabla hata hajazaliwa, hivyo aliyasikia na mengine aliyasoma
Qur'an 29:48
"Na hukuwa mwenye kusoma kitabu chochote kabla ya hiki,wala hukukiandika kwa mkono wako wa kuime,ingekuwa hivyo wangefanya shaka wale wanaotaka kubadilisha (haki)."
Soma Qur'an 7:158Aliyeandika hayo ni nani? Iweke hapa hiyo aya
Kumbe hujaelewa kama Mtume Muhammad,maneno ya Qur'an sio yake.Allah ndiye anayesema hayo.Hayo maneno anayasema nani sasa?
Si kweli hayo mambo Wamisri weusi wa kale waliyagundua zaidi ya miaka 5000 iliyopita! wewe unazungumzia 1400!
Quran 16.68-69] And your Lord (Allah) revealed to the bees: Build your hives in mountains, trees and in what they build. Then eat (for females) from every fruit and follow (for females) your Lord's enslaved paths, from their bellies (for females) exits drink of different colors, in it healing for man. These are signs for those who contemplate.
68.Na Mola wako Mlezi amemfunulia nyuki: Jitengenezee majumba yako katika milima,na katika miti, na katika wanayo jenga watu.
69. Kisha kula katika kila matunda, na upite katika njia za Mola wako Mlezi zilizo fanywa nyepesi kuzipita. Na kutoka matumbo yao kinatoka kinywaji chenye rangi mbali mbali; ndani yake kina matibabu kwa wanaadamu. Hakika katika haya ipo Ishara kwa watu wanao fikiri.
Kuna nyuki hadi milimani wanatoboa kutengeneza mizinga. sie tuna jua kwenye miti tuh na jamii za nyuki zinaanza kuppotea yani wako kwenye hali hatarishi kupotea kama kina john faru.
Mkuu hawa jamaa ni shida kusoma between the lines! hivyo utakesha. ukimletea huo ushahidi. tatizo siyo lake ni mfumo wa kukariri ndio unamsumbua/unawasumbua wote.Soma hizo article kwa upole utaelewa tu
Lete swali lingine
Ulisha jibiwa hapo mwanzo kuhusu lugha bwana, unajua ila unazunguruka mbona una shambulia saana tupe basi mstari mmoja kwenye bible ukielezea nyuki au hata sisimizi 😀 tuh. tufanye umeshinda ila ujashinda kwa tarifa yako. tafsir elizabeth will you marry me said john asa tasfir kwa kiswahili kama ilivyo yani elizabeth unaweza kunioa akisema john kwa kiswahili inaingia akilini.Wewe pekeyako ndio ulikuwa unajua Nyuki wanaweka asali zao kwenye miti tu,
hiyo aya uliyoiweka mbona unaweka na Mabano (kwenye neno Demale), unajua maana yake? maana yake hayo ni maneno yasiyokuwepo na ni maneno ya mtafsiri, , maana kwenye hiyo Aya ya Kiswahili sijaona Nyuki jike
Mkuu hawa jamaa ni shida kusoma between the lines! hivyo utakesha. ukimletea huo ushahidi. tatizo siyo lake ni mfumo wa kukariri ndio unamsumbua/unawasumbua wote.
kamata hii utajua kama kweli wanaelewa au wanakariri kama kasuku.
Watakwambia/wanasema Injili tuliyonayo siyo kweli imechezewa kutoka ile origional.
=>Swali umejuaje, ama ikowapi hiyo origional?
Watakwambia quran imesema, kuwa Yesu hakufa wala kufufuka ila ilifanywa kiini macho tu na allah, ionekane hivyo ila hakuna kitu kama hicho.
=>Swali , umejuaje kama qurani inasema kweli kuwa kufa na kufufuka kwa Yesu ni fix tu?
Watakwambia, Muhammad anasema quran ni sahii na ni kweli.
=>Swali, Unaamini kama Muhammad ni mtume wa allah?
Watakujibu kwasabu quran imesema hivyo.
=>Swali tunaamini vipi kuwa quran inasema kweli?
Watakujibu kwasababu hujui kusoma/kuongea KIARABU(wanaongezea tena classi Arabic - yaani lugha ya kabila la Muhammad) soma kwanza kiarabu utaona ukweli uliopo ndani ya quran.
mpaka hapo nadhani umepata mwanga unapo deal na hawa jamaa.
Ulisha jibiwa hapo mwanzo kuhusu lugha bwana, unajua ila unazunguruka mbona una shambulia saana tupe basi mstari mmoja kwenye bible ukielezea nyuki au hata sisimizi 😀 tuh. tufanye umeshinda ila ujashinda kwa tarifa yako. tafsir elizabeth will you marry me said john asa tasfir kwa kiswahili kama ilivyo yani elizabeth unaweza kunioa akisema john kwa kiswahili inaingia akilini.
sio kosa lako na mungu amewataja watu kama nyie hata muangaike vipi utoelewa.Mkuu hawa jamaa ni shida kusoma between the lines! hivyo utakesha. ukimletea huo ushahidi. tatizo siyo lake ni mfumo wa kukariri ndio unamsumbua/unawasumbua wote.
kamata hii utajua kama kweli wanaelewa au wanakariri kama kasuku.
Watakwambia/wanasema Injili tuliyonayo siyo kweli imechezewa kutoka ile origional.
=>Swali umejuaje, ama ikowapi hiyo origional?
Watakwambia quran imesema, kuwa Yesu hakufa wala kufufuka ila ilifanywa kiini macho tu na allah, ionekane hivyo ila hakuna kitu kama hicho.
=>Swali , umejuaje kama qurani inasema kweli kuwa kufa na kufufuka kwa Yesu ni fix tu?
Watakwambia, Muhammad anasema quran ni sahii na ni kweli.
=>Swali, Unaamini kama Muhammad ni mtume wa allah?
Watakujibu kwasabu quran imesema hivyo.
=>Swali tunaamini vipi kuwa quran inasema kweli?
Watakujibu kwasababu hujui kusoma/kuongea KIARABU(wanaongezea tena classi Arabic - yaani lugha ya kabila la Muhammad) soma kwanza kiarabu utaona ukweli uliopo ndani ya quran.
mpaka hapo nadhani umepata mwanga unapo deal na hawa jamaa.
Hicho nilichoandika umeelewa aua ndio unaendelea kukariri na umekosa cha kukariri. maana msumari ni wamoto huo haumezeki!sio kosa lako na mungu amewataja watu kama nyie hata muangaike vipi utoelewa.
Katika lugha ya kiarabu jina lenye sifa ya kike,linandikwa kwa kuongeza herufi maalum mbele,tofauti na kiingereza na kiswahili.Nyuki aliyeandikwa kwa Jina la kiarabu ni nyuki jike,ukija kwenye kutafsiri katika lugha ambayo haipambanui majina yenye sifa ya kike na majina yenye sifa ya kiume,inabidi uweke mabano,kwenye kiswahili nyuki ni nyuki,akiwa wa kike akiwa wa kiume,mpaka useme nyuki jike,lakini katika kiarabu nyuki jike ana jina lake na nyuki nyuki Dume ana jina lake.Wewe pekeyako ndio ulikuwa unajua Nyuki wanaweka asali zao kwenye miti tu,
hiyo aya uliyoiweka mbona unaweka na Mabano (kwenye neno Demale), unajua maana yake? maana yake hayo ni maneno yasiyokuwepo na ni maneno ya mtafsiri, , maana kwenye hiyo Aya ya Kiswahili sijaona Nyuki jike