Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Madaktari wanakuja kutoka Saudia nchi ya kiislamu,kuja kutibu moyo wagonjwa Muhimbilli bila kupasuwa kifuwa cha mgonjwa wala kusimamisha moyo.Hiii operesheni kama hii alifanyiwa Mtume Muhammad,na akailezea miaka 14000 iyopita,alifanyiwa na malaika walitotumwa na Allah.Leo miaka 14000 imepita ndio inafanyika,na madaktari wanaokuja kuifanya ni madaktari waislamu wanatoka nchi aliozaliwa na kuishi Mtume Muhammad(SAW).
Hawa madaktari waliwahi kuja may 2015 kutoka Prince Sultan Cardiac Centre,iliyoko Riyadhi Saudia.
Na wanakuja tena mwezi huu pia,kwa tiba ya moyo,bila kupasua kifua wala kusimamisha moyo.
Sahihi Muslim,Book 001,Number 0314:
"Then a golden basin containing the water of Zamzam was brought to me and my heart (not chest)was opened up to such and such part."
Hawa madaktari waliwahi kuja may 2015 kutoka Prince Sultan Cardiac Centre,iliyoko Riyadhi Saudia.
Na wanakuja tena mwezi huu pia,kwa tiba ya moyo,bila kupasua kifua wala kusimamisha moyo.
Sahihi Muslim,Book 001,Number 0314:
"Then a golden basin containing the water of Zamzam was brought to me and my heart (not chest)was opened up to such and such part."