Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Wewe ni robot ? Nimekwambia Biblia ni Maktaba. Fuata ile iliyo na kitabu unachokihitajiNdio unavyokaririshwa kwamba uislamu uliingizwa kwa nguvu,huo ni ujinga kukarishwa hivyo na ukakubali.Huyo Muhammad alikuwa na nguvu za vipi aweze kuwashinda mabilioni ya watu.Na ikiwa alweza kuwashinda mabilioni ya watu,basi huo ndio uhakika wa dini ya kiislamu ndio dini ya Mungu,maana Mungu kampa nguvu ya kushinda wengine.
Ukisema watu wa Yesu walimkataa,kwa nini watu wake wamkatae,na pia wasimtambue,wazungu wanasema ukarimu unaanzia nyumbani.Ikiwa wa kabila lake walimkataa,iweje wewe uumkubali.
Biblia kuwa na vitabu tofauti hilo pia ni tatizo kubwa sana,hapajulikani ni biblia ipi ndio ya kufuata.
Utakuwa mjinga ukikarishwa hivyo,kama ni vita,hata ukristo ulipigana vita vya msalaba Au hujui kama kulipiganwa vita vya msalaba?Wacha vita vya kidini vilivyopiganwa kwa miaka 30,ulaya nzima.Taarifa na maandishi ya kiislam yamejaa tele luonyesha uislam wa awali ulivyoenezwa. Sio huu wa kuzaliana kama sungura kafir wewe
Hatuzungimzi ule wa wqkamata wqtumwa kusilimisha misukule yetu
Ule wa Muhammad na waliomfuatia
Biblia viko vutabu tofauti tofauti sana,huko kuwa na agano jipya na LA kale pia ni utata mkubwa.Chukuwa hatua,funguka akili.Wewe ni robot ? Nimekwambia Biblia ni Maktaba. Fuata ile iliyo na kitabu unachokihitaji
Kwa akili yako pungufu unafikiri kila mtu anahangaishwa na vitabu vya Biblia kama wewe ?
Muhimu kwetu wengine ni Agano jipya ambalo kila biblia inavyo vitabu vyake.
Kafir wewe najua huwa huelewi lakini kupitia wewe kuna watu wanajifunza jambo
Nini chanzo cha vita vya Msalaba. Historia iko wazi kabisa. Vipi jemadari wa Kiislam aliyeishia Spain aliitwa nani vile ,,,?Utakuwa mjinga ukikarishwa hivyo,kama ni vita,hata ukristo ulipigana vita vya msalaba Au hujui kama kulipiganwa vita vya msalaba?Wacha vita vya kidini vilivyopiganwa kwa miaka 30,ulaya nzima.
Ha ha ha hii kazi ya kumfundisha mbwa kupiga mswaki imeanishinda. Unakataa agano jipya na la kale kuwpo lakini unakubali toleo jipya la Allah aliyetokana na Allah moon godBiblia viko vutabu tofauti tofauti sana,huko kuwa na agano jipya na LA kale pia ni utata mkubwa.Chukuwa hatua,funguka akili.
Kwa mfano mimi nimeingia ukristo na nimekuta kuna BibliaHa ha ha hii kazi ya kumfundisha mbwa kupiga mswaki imeanishinda. Unakataa agano jipya na la kale kuwpo lakini unakubali toleo jipya la Allah aliyetokana na Allah moon god
Hivyo mnavyokaririshwa ujinga wa kuwa uislamu ulienea kwa upanga,ndio mnazidi kuupa uislamu nguvu.Maana litakuja swali iweje mtu mmoja,Muhammad,aliweza kuwashinda mabilioni ya watu duniani kivita?Alikuwa na nguvu ya aina gani?Kwa hiyo itakuwa alikuws na nguvu ya Mungu.Na pia walishindwa kumkemea ka Jina LA Yesu,akashindwa na kulegea?Nini chanzo cha vita vya Msalaba. Historia iko wazi kabisa. Vipi jemadari wa Kiislam aliyeishia Spain aliitwa nani vile ,,,?
Aliyepanga harakati za kwenda kusilimisha Ulaya.
Acha uzwazwa muhammad alieneza dini yak kwa jambia
Kafir mkubwa wewe
Kazi ya kumfundisha mbwa kupiga mswaki. Ukipata shida kuhusu maneno tofauti wenye akili wanarudi kwenye bible commentaries au concordance na kuangalia maneno ya Asili yalimaanisha nini ... Kwa MTU mwelewa anajua aina ulizotaja ni tafsiri ni sawa na moja ikawa imetafsiriwa kwa kiswahili cha Kenya na nyingine kiswahili cha Tz bara na nyongin kiswahili cha unguja ukiwa poyoyo kama wewe utasema tofauti lakini waelewa watajua tofauti ni lahaja au lafudhi na matumizi ya manenoKwa mfano mimi nimeingia ukristo na nimekuta kuna Biblia
1.King James
2.New international
3.New living Bible
4.New American Bible
5.New Jerusalem Bible
Na zote zina utofauti mkubwa mfano
King James:Job 36:33
"The noise thereof .....concerning the cattle also concerning the vapor."
New international job 36:33
"His thunder announces the coming storm;even the cattle make known its approach."
Maneno tofauti kabisa.
Utanishauri nifuate biblia ipi?
Dini moja vitabu tofauti vya dini hiyo.
Hapo sio tafsiri,hapo pameandikwa mambo tofauti kabisa.Hata protestant ana biblia Yake na katoliki ana yake.Kazi ya kumfundisha mbwa kupiga mswaki. Ukipata shida kuhusu maneno tofauti wenye akili wanarudi kwenye bible commentaries au concordance na kuangalia maneno ya Asili yalimaanisha nini ... Kwa MTU mwelewa anajua aina ulizotaja ni tafsiri ni sawa na moja ikawa imetafsiriwa kwa kiswahili cha Kenya na nyingine kiswahili cha Tz bara na nyongin kiswahili cha unguja ukiwa poyoyo kama wewe utasema tofauti lakini waelewa watajua tofauti ni lahaja au lafudhi na matumizi ya maneno
Kafir wewe hufundiahiki
Hufundishili kafir muabudu Mungu Allah Mkuu wa miungu ya MakuraishHapo sio tafsiri,hapo pameandikwa mambo tofauti kabisa.Hata protestant ana biblia Yake na katoliki ana yake.
Umeishiwa hoja,acheni Tabia ya kuletwa Uzi kuhusu uislamu halafu,mnaleta maneno ya ovyo.Mkibanwa sana,mwaanza kutukana.Hufundishili kafir muabudu Mungu Allah Mkuu wa miungu ya Makuraish
Matendo yote kuanzia hijja na hata mtendayo Mkiwa hijja kamq vile kubusu jiwe jeusi,kuzunguka uchi Alkaaba Mara saba. Kumpopoa mawe shetani na hata kupiga maogoti ndani ya Alakaaba na Alkaaba yenyewe mmeyachukuwa toka kwa wale Mliowapora Allah moon god wao Mkuu wa Miungu ya Alkaaba.Hebu angaliya waislamu duniani kote,ukifika wakati wa hija wote wanakwenda hija Maka,na wakati mmoja,na matendo yote yanayohusiana na hija yanafanana.
Angalia ukristo,wapo wanaokwenda Vatican,wako wanaokwenda Jerusalem,wako wanaokwenda America,wako wanaokwenda Ungereza na ni madhehebu tofauti na vitendo vya ibada tofauti.
Afadhali ubgeficha ujinga,hayo yote uliyoandika ni uongo mwingi,hija inaonyeshwa live dunia nzima,watu wanaona kwenye TV,Matendo yote kuanzia hijja na hata mtendayo Mkiwa hijja kamq vile kubusu jiwe jeusi,kuzunguka uchi Alkaaba Mara saba. Kumpopoa mawe shetani na hata kupiga maogoti ndani ya Alakaaba na Alkaaba yenyewe mmeyachukuwa toka kwa wale Mliowapora Allah moon god wao Mkuu wa Miungu ya Alkaaba.
Kwa akili yako pungufu unafanya pasipo kujiuliza Asili yake
Kafir mkubwa wewe
Hata aibu huna
Toauti za kimtazamo bain ya madhehebu ya Kikrsto ni taarifa kiwa unaruhusiwa kuhoji na kutoa sababu .
Kuwa kitu kimoja kunatokana na kukarirshwa pasip kuhoji chochote alichosema mtoto wa AbdiAllah
Kama misukule vile
Samahani mmekarabati kidogo badala ya kuzunguka uchi ninyi mnavaa shuka nyepesi.Afadhali ubgeficha ujinga,hayo yote uliyoandika ni uongo mwingi,hija inaonyeshwa live dunia nzima,watu wanaona kwenye TV,
1.Waislamu wamevaa Nguo
2.Ikiwa waislamu wanabusu jiwe jieusi,ni kuonyesha uislamu sio dini ya ubaguzi wa rangi,mtu mweupe kubusu kitu cheusi
3.Hakuna kupiga magoti
Wacha kukaririshwa,ndio ujinga wa kukaririshwa.Ukikaririshwa utumie akili.Fungua TV,mlidanganywa zamani wakati hakuna TV,lakini dunia ya leo bado wadanganywa,dunia yenye technologia,kinachotokea Maka unaona live.Funguka akili uchukuwe hatua.
Watangulizi wenu walizunguka wakiwa uchi wa myama ninyi mnakuwa katika uchi wa kiislam.Ni mambo ya kushangaza kuna watu dunia ya Leo,
Iliyiendelea kitechnologia,bado anakaa kwenye vijiwe vya viroba ,na kidanganywa kama waislamu wanahiji uchi.Fungua TV,hija inarushwa live,huna TV ,nenda You tube,tafuta hija,utaona watu walivyovaa nguo,zimewapendeza.
Acha kudanganywa,dunia ya Leo ni ya technological.
Hakuna shuka nyepesi,ni blanket nzito nyeupe ,imetengenezwa kama taulo,na ni nyeupe na wanawake wanavaa nguo zao kama kawaida na juu wanajifinika nguo nyeupeSamahani mmekarabati kidogo badala ya kuzunguka uchi ninyi mnavaa shuka nyepesi.
Nikesema yalikuwa matendo ya wale walioporwa Allah Mkuu wa miungu. Na Alkaaba yao. Wewe unasema habari za TV kwani TV inaonyesha walivyokuwa wanafanya makuraish enzi hizo ?
Mmepora mila na teatibu za ibada za wafuasi wa Allah moon god Mkuu wa miungu ya Alkaaba na kuingizwa kwenye dini ya Allah mkqrabatiwa Islam
Ficha upoyoyo wako Kafir mkubwa wewe
Once a fake god always a fake god
Hence Allah is a fake god