KISODA UNA ZEEKA VIBAYA, wewe ndo nakurekebisha kama ulikua ujui.
Usimfananishe Yesu na Muhammad wala binadamu yeyote yule unayemjua wewe. wewe ndo usi mfananishe Muhammad na yesu na wala mtu yoyote kila mtume na watu wake na kwa wakati wake.
Yesu kazalia na BIKIRA, Muhammad no. ina maana yesu hana baba na Adam binadamu wa kwanza kumbwa kaumbwa yeye kama yeye hakua na baba na mama uoni miracle hio sembuse yesu kazaliwa na bikira. na kama ulikua una kubali binadamu wa kwanza Adam hakua na baba asa ana tofauti gani na yesu kama wote si ni kwa Mungu.hio ni miujiza Mungu hana mwana,baba,wala mshirika hapo ndo mnapokesea saana mnapo kufuru na yesu mwenyewe hakirudi atawaruka na kuwakana kabisa.
Yesu ni NENO la MUNGU, Muhammad no. wote kwa tarifa yako ni mitume wale na walikua awatamki chochote isipokua wakielekezwa clear instructions kutoka kwa Muugu kwahio wote neno la Mungu sio yesu tuh na Muhammad kwanzia mitume yote kwa tarifa yako.
Yesu ni ROHO wa MUNGU, Muhammad no. Hakuna kitu kama hicho.
Yesu hakufanya DHAMBI, Muhammad alifanya sanaa,( quran yake mwenye inasema tumekusamehe zambi zako ulifanya na utakazofanya baadae)
Hayo yote hapo juu quran ya Muhammad inathibitisha. kwa tarifa yako kama sie binadamu tusinge kua tuna tenda dhambi kabisa basi Mungu ange wipe existence yetu yote na kuleta viumbe vingine ili vitende dhambi na ili vitubu na wa samehe. Mungu anapenda watu wanao tenda dhambi na kutubu. yesu mwenywe katenda dhambi ndo maana alikua anaomba au ana sali tena aki nyeyekea hakiomba.
Ebwana sikuwezi nime choka kubishana na wewe . wewe ni nouma sikuwezi endelea hivyo hivyo.