Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

every thing is in the mind....that's where it starts by knowing what you want....tuache imani kama zilivo ili waamini wasivunjike mioyo
Munataka kuiga idiology thoughts za wazungu bila ya kuelewa wamefikia vipi huko. Soma utoe ujinga.
 
Ni kweli kabisa kwamba pale Egypt sehemu ya Pyramid ya Giza na sanamu ya Simba pamewekwa au kufichwa sayansi kubwa sana duniani. Mfano ni Golden number na pai ya hesabu ambavyo ukivichanganya kidogo vinakupa speed ya mwanga.
Wa Egypt hawakuwa hawa Waarabu. Hawa waliwavamia real Egyptian na kuwafukuza maeneo hayo. Kuna kila dalili kuwa wale walikuwa Weusi na moja ya mabaki yao yanaweza kuwa ni kabila la Dogon wanaoishi Mali.
Kuna sayari ambazo Dogoni alizisema miaka mingi nyuma ndiyo kwanza Nasa wamekuja kuziona kwa kutumia powerful telescope.
Kuna story kwenye Biblia inasema kuwa kuna watu walikuja kutoka mbinguni na baada yakuwaona Mabinti wa Dunia hii wakawapenda. Wengine wanadai kuwa hawa jamaa walikuja Babylon kuja kutafuta dhahabu. Kumbuka dhahabu ni best material kwa ajili ya kupitisha joto na umeme.
Walipoona hii kazi ngumu sana basi wakawazalisha Binadanu na wale watoto wakawa ni kama binadamu ila Super natural talented. Hawa ndiyo inasemwa walikuja kujenga hizo Pyramid na vitu vingine baadaye.

Vatican hizi siri wanazo siku nyingi na ukiangalia makanisa hata ya zamani sana, walitumia Golden Ratio kujenga. Bendera ya USA imetengenezwa kwa kutumia Golden Ratio. Symbol ya Toyota vilevile.

Swali hapa ni vipi Vatican walijenga hivi? Ni lazima walijua siri hii. Ndiyo maana CIA na Vatican ni marafiki wakubwa na wao ndiyo walinzi wa siri hizi za dunia.

Mwenye hamu ya kutaka kujua hili basi aanzie kufuatilia matukio ya vifo vya wale (Samaki wakubwa?) Waliokuwa wakiokotwa wamekufa kwenye fukwe za bahari. Anzia tukio la wale waliokutwa wamekufa RSA.
Njoo angalia siri ya Pyramid ya Giza. Njoo usome au sikiliza siri ya kabila la Dogoni na hapo utapata mwanga mkubwa wa hizi habari. Dogoni wao wanathibitisha kabisa walitoka angani kwenye sayari ndogo pembeni mwa Sirius.
Ni vizuri utoe comment uweke na proper reference ya information yako. Hapo umeongea hadithi ya Alfu lela ulela.
 
Ukitazama kisa cha watu wa pangoni,katika Al - Kahf (18:18)
Q. 18:Na unawadhani wa macho na hali wamelala.NA TUNAWAGEUZA UPANDE WA KULIA NA UPANDE WA KUSHOTO,........
Hapa panafunzo makubwa sana kwa wanaoguza wagonjwa wanaolala kitandani,wasioweza kujigeuza wenyewe.Inabidi wageuzwe geuzwe ili wasipate vidonda.
Mafunzo hayo yametajwa katika Qur'an miaka 1400,iliyopita,haya ni maajabu makubwa sana.
AN NISAA :56 Inathibitisha kuwa uchungu wa maumivu uko kwenye ngozi.juzijuzi tu imegunduliwa na maulamaa wa kitiba.
 
View attachment 455064
Hivyo ndivyo vyomba vya Anga vya Ancient Egypt kabla ya Muhammad
Kumbuka historia ya Moses alivyokwenda kwa pharao alitupa mti wake ukageuka nyoka na Pharao akawaita Wachawi wake wawili wakaja nao wakatupa miti yao ikageuka nyoka. Inamaanisha tokea enzi hizo Misri ilikuwa ina elimu ya hali ya juu especially katika supernatural powers and beliefs. Kwa hiyo hizo picha za vielelezo vya ndani ya Pyramid sio ajabu kuziona. Je elimu hiyo waliyokuwa nayo ilimfanya Pharao kuwa na Nguvu zaidi ya Moses??? Jibu ni hapana. Moses alikuwa na Elimu zaidi ya hao Wamisri kwa sababu he was a Prophet from God Whom belongeth All Knowledge. Vile vile Muhammad(S.W.A) is The Prophet from God, Who is God for Adam, Abraham, Moses and Jesus. Ni Mungu ambaye ametuletea hii elimu. Its undeniable facts that the knowledge of The Prophet was direct Inspiration from Allah.
 
Hizi ndio Bulb ulizokuwa unaulizia, hizi zilikuwa na miaka zaidi ya 7000 Kabla ya Quran na kabla ya Muhammad, hicho kipicha cha Chini kinaonyesha kabisa kuwa kuna Betri na waya zinazowasha hizo taa

View attachment 455066
Huwenda hao walikuwa wachawi wa Pharao wakitabiri future. Utabiri ulikuwepo tokea zamani.
 
Si kweli hayo mambo Wamisri weusi wa kale waliyagundua zaidi ya miaka 5000 iliyopita! wewe unazungumzia 1400!
Kwanini useme Wamisri WEUSI. Kwani ukisema Wamisri unabadilika nini mpaka utie UWEUSI??? Hizi mentality potofu kabisa.
 
Kuna khatari ya walokole kuturudia hapa, ya rabbi tuepushe na adhabu zako..aamin aamin.
 
Mimi naulewa mkubwa kuliko wewe. Ndiyo alipozaliwa Ibrahim ndipo panaitwa Iraq kwa sasa baada ya waarabu kuvamia. Kabla ya hapo hakuitwa Iraq wala Uarabuni. Ibrahim alizaliwa Babylon Chaldea mji wa Ur, karibu na Euphrates na Tigris rivers.

Mwa11:31 Baada ya hapo Tera akamchukua mwana wake Abramu, na mjukuu wake Loti, mwana wa Harani, na binti-mkwe wake Sarai, mke wa mwana wake Abramu, nao wakaondoka Uru la Wakaldayo pamoja naye ili kwenda katika nchi ya Kanaani. Baadaye wakaja Harani na kukaa huko.

Mwa 15:7 Ndipo akaongeza kumwambia: “Mimi ni Yehova, niliyekutoa katika Uru la Wakaldayo ili nikupe nchi hii uirithi.”

Hayo maandiko juu ndiyo historia ya kweli siyo Quran yenu.
Mkuu hawa vilaza Bible iliyoshushwa na Allah kupitia Jibril inakitabu kimoja tuu, TAURAT ya Musa. haya uliyoongea are too far deep for them to understand. na hiyo Taurat ya Allah imemaliza.
Huoni wanavyojichanganya eti Isa bin Mariam alizaliawa na Mariam dadaye Haroun(Imran) nduguye Musa!!

Shida yao ni Copy & Paste.
 
Ni kweli kabisa kwamba pale Egypt sehemu ya Pyramid ya Giza na sanamu ya Simba pamewekwa au kufichwa sayansi kubwa sana duniani. Mfano ni Golden number na pai ya hesabu ambavyo ukivichanganya kidogo vinakupa speed ya mwanga.
Wa Egypt hawakuwa hawa Waarabu. Hawa waliwavamia real Egyptian na kuwafukuza maeneo hayo. Kuna kila dalili kuwa wale walikuwa Weusi na moja ya mabaki yao yanaweza kuwa ni kabila la Dogon wanaoishi Mali.
Kuna sayari ambazo Dogoni alizisema miaka mingi nyuma ndiyo kwanza Nasa wamekuja kuziona kwa kutumia powerful telescope.
Kuna story kwenye Biblia inasema kuwa kuna watu walikuja kutoka mbinguni na baada yakuwaona Mabinti wa Dunia hii wakawapenda. Wengine wanadai kuwa hawa jamaa walikuja Babylon kuja kutafuta dhahabu. Kumbuka dhahabu ni best material kwa ajili ya kupitisha joto na umeme.
Walipoona hii kazi ngumu sana basi wakawazalisha Binadanu na wale watoto wakawa ni kama binadamu ila Super natural talented. Hawa ndiyo inasemwa walikuja kujenga hizo Pyramid na vitu vingine baadaye.

Vatican hizi siri wanazo siku nyingi na ukiangalia makanisa hata ya zamani sana, walitumia Golden Ratio kujenga. Bendera ya USA imetengenezwa kwa kutumia Golden Ratio. Symbol ya Toyota vilevile.

Swali hapa ni vipi Vatican walijenga hivi? Ni lazima walijua siri hii. Ndiyo maana CIA na Vatican ni marafiki wakubwa na wao ndiyo walinzi wa siri hizi za dunia.

Mwenye hamu ya kutaka kujua hili basi aanzie kufuatilia matukio ya vifo vya wale (Samaki wakubwa?) Waliokuwa wakiokotwa wamekufa kwenye fukwe za bahari. Anzia tukio la wale waliokutwa wamekufa RSA.
Njoo angalia siri ya Pyramid ya Giza. Njoo usome au sikiliza siri ya kabila la Dogoni na hapo utapata mwanga mkubwa wa hizi habari. Dogoni wao wanathibitisha kabisa walitoka angani kwenye sayari ndogo pembeni mwa Sirius.
Clearly unaonekana kuwa wewe sio mtu ambaye anajua hesabu maana kama ungejuwa hilo basi uungetambua kuwa haisemwi golden number ni golden ratio.Wewe unaonekana ni mtu ambaye anasoma blog za wazungu wanaochanganya mambo ya ajabu ajabu.Wamisri waliweza jenga pyramid kwasababu walikuwa wamendelea katika geometry na astronomy Na sio kuhusu malaika kushuka toka mbinguni.Nakushauri kasome chaos mathematics Ndo uone jinsi gani hata hesabu yeneyew inavyodhirirsha Uwepo wa mungu.Pia kafuatilie godels incompleteness theorem ambayo ina imply kuwa Kuna vitu ambavyo vinaweza kuwa kweli lakini hesabu haitaweza kuvi prove.Kwa hyo science nayo ambayo ina base kwenye hesabu iko limited Kuna vitu ni kweli Na haitaweza kuvi proove.kila kitu kinamtukuza mungu Adi hesabu yenyewe
 
Katika Qur'an ndio kulianza kufanya research,utaona aya nyingi katika Qur'an zinasema
1.Angalia(fanya research) ngamia kaumbwa vipi
2.Angalia chakula unachokula
3.Angalia mbingu ilivyoumbwa(angalia tena)
4. Angalia(fanya research) mwanadamu alivyoubwa nk
Kwa hiyo hata kufanya practical,ili upate uhakika wa ufanyacho,lazima kufany research.
Mambo haya ya 'systematic investigation into a study of materials and sources in order to establish facts and reach conclusions',yapo ndani ya Qur'an.
Angalia siyo "fanya research." Angalia ni observe au look. Rekebisha hiyo siyo kutudanganya sisi waislamu.
 
Munataka kuiga idiology thoughts za wazungu bila ya kuelewa wamefikia vipi huko. Soma utoe ujinga.
Na wewe unaiga idiology za watanzania au waarabu? Watanzania ni wenye amani na nchi zote za kiislamu ni vita na terrorism. Bahati yako uko Tanzania! Nenda Libya uone terrorist watakufanya nini?
 
Na wewe unaiga idiology za watanzania au waarabu? Watanzania ni wenye amani na nchi zote za kiislamu ni vita na terrorism. Bahati yako uko Tanzania! Nenda Libya uone terrorist watakufanya nini?
Fuatilia historia vzuri uone hvo vikundi vimeanzishwa Na nani na ni nani anaewapa ela ya kununua adi vifaru Ndo utaelewa vzur kabla hujaanza kuongea propaganda
 
Ninakuambia waislamu wanafuata mila za nabii Ibrahim,ufahamu kila cha Nabii Ibrahim kinafanyika.
"Na wakasema:Kuweni Mayahudi au Manaswara ndio mtaongoka,Sema:Bali (tunashika)MILA YA IBRAHIM Mongofu,wala hakuwa katika washirikina."
Qur'an 135


"Semeni:Tumemwamini Mwenyezi Mungu na yale tulioteremshiwa na yale yaliotetemshwa kwa IBRAHIM na Ismail, na Is hak na Yaqub na wajukuu na waliopewa Manabii (wengine)kutoka kwa Mola wao;hatutofautishi baina ya yoyote katika hao na sisi tumesilimu(tumenyenyekea)kwake."Qur'an 138
yaani wewe ni kilaza kuliko maelezo.
Nakubaliana na wewe kweli mnamfuata Ibrahim wa kwenye Quran.
Kama ni Abraham wa kwenye Bible inayomuongelea Mungu Yehova, sikubaliani nawe.
Hapo kwenye nyekundu, ni nani alikuwa anatoa amri kumwambia nani awaambie waseme tumemwamini?
Kwanini/ nini kilitokea mpaka hiyo amri/agizo likatolewa?
 
Kuna khatari ya walokole kuturudia hapa, ya rabbi tuepushe na adhabu zako..aamin aamin.
Hamna hatari yoyote, wote sisi hapa yumejitiisha na tunataka kujifunza zaidi kwa ndugu zetu waislamu. Lakini, mkisema uwongo tutawakosoa.

Al baqarah 2:42 42. Wala msichanganye kweli na uwongo na mkaificha kweli nanyi mnajua.
 
Back
Top Bottom