Vipi pesa madafu - Kenyan shilling now rallies to an 8-month high

Vipi pesa madafu - Kenyan shilling now rallies to an 8-month high

Hapa nazungumza kuhusu experience ya kitambo na ndio maana nikasema mara yangu ya kwanza Bongo, halafu suala la international business huna cha kunifunza kwa copy pasting words kama ilivyo kawaida yako. Kwa taarifa zako I make a living engaging internationally, angalia sana posts zangu huwa kuanzia midnight maana ndio kazi zangu huanza muda kwa sababu ndio muda muafaka wa wadau.

😀🤣😛😝
So, if it's your first time to engage in a business with a territory with a different political, economic system etc, you become unfamiliar with such a basic and fundamental matter, exchange rates!!?? Mind you, you came across with TZS 5 mio at payment stage, not at business plan or a Feasibility stage. Anyways, those are tough things for you to comprehend. Endelea na biashara yako ya mitumba.
 
Sasa nikiwa na noti 100 ya 10,000 ya Kidanganyika mimi ni Millionaire????
 
Sasa nikiwa na noti 100 ya 10,000 ya Kidanganyika mimi ni Millionaire????

Halafu corruption za Bongo wao hutaja trillions, yaani tu basi hehehehe
 
A stable currency u
Noma sana yaani mtu aliye kwenye kima cha chini cha mshahara anapewa noti moja tu na kwenda zake, ila sasa hiyo elfu hamsini italeta mtafaruku maana hata hiyo 10,000 kuna sehemu ukiitumia wanakosa chenji inabidi mvutano.
Yaani kuwa milionea Bongo ni kazi rahisi sana, nakumbuka mara yangu ya kwanza Tanzania nilipewa milioni tano kwa mpigo mmoja tena mezani zikawekwa nikahisi ukichaa, kwenda kuzibadilisha na za Kenya nilibaki hoi, tena nilikasirika kishenzi, yaani zilinywea zote nikawa na sijui laki mbili na makumi ya elfu kadhaa za Kenya.
Tangu hiyo siku kila nikipewa milioni kadhaa nilikua sikimbilii kubadilisha, nazuga nazo kwanza nijione na manoti bilionea.
Hahaha.
 
ni kama sisi huwashangaa nyinyi mkitaja sent,tunajiuliza hizo ni gani nazo hizo.

kwani kwenye currency yenu hakuna tillion[emoji28][emoji28][emoji28]

Trillion ipo kwenye level ya bajeti huku, sio kitu cha kupigwa kama hela ya mboga, nyie balaa....
 
Trillion ipo kwenye level ya bajeti huku, sio kitu cha kupigwa kama hela ya mboga, nyie balaa....
uliyeambiwa tz anaweza kupiga tillion moja ni nani??

hiyo hela ishia kuisikia hivyo,acha na maneno za siasa.bajeti nchi nzima tillion 30 na kuna wakati haitimii.wizara zinazomaliza tillion 1 kwa mwaka hazifiki tatu tz.
 
Hela ipi ya Uarabuni maana dinar naifahamu inaendana na dollar bega kwa bega, anyway sitashangaa kama na nye mnataka mfanane na waarabu maana hata Darisalama jina la kiarabu, mumekaa kiarabu arabu hivi.
Kuwait dinar.
Maana kuna dinar ya Suudia na kuna dinar ya Kuwait.
Kuwait ya dinar ni Mara mbili unusu ya dollar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uliyeambiwa tz anaweza kupiga tillion moja ni nani??

hiyo hela ishia kuisikia hivyo,acha na maneno za siasa.bajeti nchi nzima tillion 30 na kuna wakati haitimii.wizara zinazomaliza tillion 1 kwa mwaka hazifiki tatu tz.
sio tillion*.... ni trillion
 
Back
Top Bottom