eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Hapa nazungumza kuhusu experience ya kitambo na ndio maana nikasema mara yangu ya kwanza Bongo, halafu suala la international business huna cha kunifunza kwa copy pasting words kama ilivyo kawaida yako. Kwa taarifa zako I make a living engaging internationally, angalia sana posts zangu huwa kuanzia midnight maana ndio kazi zangu huanza muda kwa sababu ndio muda muafaka wa wadau.
😀🤣😛😝
So, if it's your first time to engage in a business with a territory with a different political, economic system etc, you become unfamiliar with such a basic and fundamental matter, exchange rates!!?? Mind you, you came across with TZS 5 mio at payment stage, not at business plan or a Feasibility stage. Anyways, those are tough things for you to comprehend. Endelea na biashara yako ya mitumba.