Kaka nafikiri hujanielewa nilichosema,nimesema kuanzia Kibaki achukue madaraka,sasa wewe unasema mbona Moi alichukua uraisi.Omba mungu uishi miaka mingi kama utaona huyo mkale mwenzenu kama atachukua uraisi baada ya UK,hapo ndio mtapata mshangao wa karneMbona Moi alikuwa Rais. Sema Rais hawezi kuwa mjaluo au mluya au mkamba. Atakuwa mkalenjin au mkikuyu
Uhuru asingekuwa Rias kwa kura za wakikuyu pekeyake unless kamma unataka violence nyingine itokee. Mi mbongo hadithi za wakalenjin wapi na wapi mkuuKaka nafikiri hujanielewa nilichosema,nimesema kuanzia Kibaki achukue madaraka,sasa wewe unasema mbona Moi alichukua uraisi.Omba mungu uishi miaka mingi kama utaona huyo mkale mwenzenu kama atachukua uraisi baada ya UK,hapo ndio mtapata mshangao wa karne
Uhuru asingekuwa Rias kwa kura za wakikuyu pekeyake unless kamma unataka violence nyingine itokee. Mi mbongo hadithi za wakalenjin wapi na wapi mkuu
We dogo vipi mbona unalazimisha mawazo yako ndo yawe sahihi. Grow up kid. Mi inanisaidia nini Rais wa Kenya akiwa mkikuyu au mkale? Tunabishana tu upuuzi. Inaonekana hata shule yako ndogo. Argument za kitoto eti mi nilizaliwa Kenya bla blah. So What?? Acha ujinga. Unadhani uanongea na mburula mwenzio. There is something called perspective au kwa kiswahili mtazamo. I am a great thinker. To me it is not about who is right or wrong but what is right. I don't use emotion to urge. I use analytical thinkingg. I am a thinking Man teh teh.Kuwa mbongo hakunizuia kujua mambo ya Wakale kaka, wewe mbona upo JF wakati ni ya wabongo,kaka unapoteza muda tu wako kwa kudhani Wakale watachukua uraisi tena sahau,kwanza angalia Rutto kesha anza kuwagawa Wakale kwa hiyo uchaguzi baada ya Uhuru mutakuwa hamko pamoja chini ya Ruto,halafu ulivyo mkabila eti nataka violence ingine kwa vipi kusema Ruto hatakuwa raisi ,wee acha siasa zako buure kabisa heh heh.Kwa taarifa mimi ni nusu Mkenya kaka babu zangu walihamia TZ miaka ilee na nimeishi na kufanya kazi Kenya ofisi zangu zikiwa Westlands .Mitaa ya Umoja,Buru ni mitaa yangu mazee bar kama Pynty pale Buru ilikuwa kijiwe changu.