Hakuna utaalamu wa kutongoza, ila maneno gani unaongea kwa binti. Kuna wanaume wana maneno mazuri na yanapendeza, sio maneno ya uongo.
Hakuna utaalamu wa kutongoza, ila maneno gani unaongea kwa binti. Kuna wanaume wana maneno mazuri na yanapendeza, sio maneno ya uongo.
Hakuna utaalamu wa kutongoza, ila maneno gani unaongea kwa binti. Kuna wanaume wana maneno mazuri na yanapendeza, sio maneno ya uongo.
...yataje basi ...🙂
Mtaani na kazini simple (itakuchukua kama mwezi mmoja hivi kama hakuna chemistry)
*Jitambulishe ili mfahamiane
*Hakikisha mnaonana mara nyingi (unajidai accidendally kumbe ni mbinu zako)
*Msemeshe kila mkionana na uwe unamsifia
*Usichukulie mambo serious sana, inabidi ufanye jitihada kuwe kama na "kautani flani" kati yako na yeye
*Kisha "unamtania" (unajidai utani, kumbe moyoni uko serious) unataka kumpeleka lunch, outing ama kitu kama hicho
*Hapo mtakuwa kwenye kubadilishana namba za simu
*Mpige message mara kwa mara, kama anajibu (angalia usitume message nyingi kama hajibu)
*mpige vizawadi vya mara kwa mara - hata chewing gum au pipi! (Kutongoza sometimes inabidi ujifanye Mseng.e ili ufanikiwe). lol
*Akikubali outing, una-introduce issue kuwa ulishakufa kwake bado kuoza tu
*Endelea kuwa karibu naye na kumshawishi.
*Outing ya pili mpitie kwako kabla hujamrudisha home kwake, jidai kuna kitu muhimu lazima u-drop au ufanye; akiingia ndani - usifanye kosa, mademu bongo sitaki nataka na first time inaweza ikawa hivyo, akigoma sana unaacha, hatari ni kwamba kama hajawa impressed na unapoishi na ukamkosakosa ndio imetoka, kwa hiyo juu yako hapo.
*Etimated time kwa mambo yote haya, 1 month.
*NB: Demu yeyote anachukulika (awe maskini, tajiri, mrembo, msomi, whatever), ni ku-persist tu mpaka a-give in.
Kwenye party - ni kujitambulisha, kupiga stori kidogo na kujitahidi upate namba ya simu utaendelea baada ya hapo; otherwise demu awe mapepe na wewe ujidai pedejee.
Club kabisaaa, ndio hakuna kingine zaidi ya hela yako ya vinywaji na kuonyesha upedejee!
Nadhani umepata mwanga kidogo ... lol
Mambo ya kumpelekea mtu pipi na chewing gum ndio use... wenyewe. lol..
Demu wa fasta ni kwenye baa ama klabu, huyo wa mwezi 1 lazima unatafuta ndoaWIZI MTUPU......but thanks for this anyway.
Hapo unatafuta demu wa kumega faster faster au mke?
Kwanza Unamcheck kwa mbali kama mnakutana njiani Kisha Unajifanya kama mnajuwana habari za siku? Akijibu ni kosa Unampa Vipi Umepotelea wapi? lazima atajiuliza mnajuliana Wapi akitaka kujuwa wewe ndio nani! unajifanya Kusikitika saana Kisha Unamuuliza ina maana leo umeshanisahau Haya Niambie unaelekea wapi? Kama Una Mchuma unatoa offer ya lift akikubali Lazima Uchukue number kama hana Kilongalonga Basi Unampatia B/C yako akupigie baadae Hapo unaweza kuanza kumtengeneza kilaaani Ukishindwa Mpe Kigari Chekundu,Ki RAV4Hmmm! Je, kama huna uwezo huo ndiyo unamkabidhi nini!?
Hayo ndio elimu yenyewe tunayoizinga as they say, it's not the size of the ship that matters - it's the motion of the ocean. We're here to get those waves rollin' ndio maana yake ,sasa ukisema yapo tu inakuwa haitoshagi yamwae hapa ,we are open to talk kidemokrasia.Hakuna utaalamu wa kutongoza, ila maneno gani unaongea kwa binti. Kuna wanaume wana maneno mazuri na yanapendeza, sio maneno ya uongo.
Kwani wewe hujawahi kutongozwa?Naomba kuwauliza eti vipi unamtongoza mwanamke ? Kuna mbinu zozote au ustadi wa kuweza kuwin msichana mzuri mtaani au kazini ? Au kwenye diskoparty ila sio kwenye baa ingawa naweza pia kuelezewa ka kunahitajika kaufundi ?
nyie vipi?
Mnafikiria mzee Lyumba kuwamega mademu wakali wakali ana maneno mataaaamu kunizidi mie?
demu wa siku hizi tembeza ngawira kwisha kazi yake......mfanyie shopping kwa sana,mkabidhi pesa taslimu,mnunulie gari......ushamroga..
....kutongozana ilikuwa zamani siku hizi hata demu ukimtongoza anakucheka......
nyie vipi?
Mnafikiria mzee Lyumba kuwamega mademu wakali wakali ana maneno mataaaamu kunizidi mie?
demu wa siku hizi tembeza ngawira kwisha kazi yake......mfanyie shopping kwa sana,mkabidhi pesa taslimu,mnunulie gari......ushamroga..
....kutongozana ilikuwa zamani siku hizi hata demu ukimtongoza anakucheka......
Hauna tabia za kike lakini?Nimevutiwa sana na mada hii kutokana na kutoelewa kwangu hali halisi inayowakabili Baadhi yetu ndani ya jamii. sijuwi neno gani nilitumie hapa litakalo elewesha wengine ,kwa upande wangu binafsi sijawahi kutongoza hata siku moja isipokuwa wasichana wananifuata mimi badala ya mimi kuwafata wao na hili hata wazazi wangu waliwahi kuniambia nikiwa pale mdogo ilikwa wasichana wa rika yangu hawatoki nyumbani kwetu sasa hapa niakubaliana na yule mtowa maoni aliyesema kuhusu chemistry au biology inawezekana zangu zina nguvu sana inapofika kwa wasichana.asanteni kwa mada hii leo ni moja kati ta siku muhimu sana kwani imenifanya nielewe kwa nini wasichana wamekuwa hawaachi kunisumbuwa siku zote
...yataje basi ...🙂[/Q
kuna vitu wanaume inabidi mjue. Sio kujiongelea tu.
-make eye contact ( hii itamfanya binti aone upo confident man)
-slight smile, angalau basi uweke tabasamu angalau uonekane upo serious na unampenda kweli.
-Positive body language ( don't be nervous)
-muulize maswali maswali ( what u don't know yet) like anapenda nn, hapendi nn, anapenda mume wa namna gani.
hizi ni baadhi ya mbinu lkn zipo nyingi tu. ILa usijaribu kuweka uongo. manake wanaume kwa kuongopa hamjambo.
tehe tehe tehe mbinu zangu nikiziweka hapa nitaongeza ushindani wa kupata totozi mtaani...Kule kwenu Kinyelezi wewe hufanyaje?