Naona hamuachi kutuwaza[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Vichaa ni BAVICHA, wapo wengi tu humu!Ripoti imeibuka kwa hawa watani zetu wa kusini kwamba, kwa kila Watanzania wanne, mmoja kati ya ana kichaa. Bila shaka wengi wa hivyo wapo humu JF wanatuzingua sana kila siku kwa kujibu jibu kila mada za Kikenya kwa kauli za ajabu ajabu.
Najua hata Kenya utafiti kama huu ulifanyika na sikumbuki vichaa tulitajwa wangapi. Mwenye taarifa naomba ashushe humu.
Sisi ni vichaa kweli kweli atujalibiwi pita mbali nasi kama ujui uliza EPAJirani yako lazima umuwaze kila ukiamka maana akichizika ghafla itakula kwako pia.
Haina umuhimu nihangaike kuwaza Wanigeria, inabidi niwajulie hali Wasomali, Wahabeshi, Wasudani, Waganda na Watanzania maana hao ndio wamenizunguka. Hivyo, afya njema kwa jirani ni faraja kwangu mimi pia.
Vichaa ni BAVICHA, wapo wengi tu humu!
Ripoti imeibuka kwa hawa watani zetu wa kusini kwamba, kwa kila Watanzania wanne, mmoja kati ya ana kichaa. Bila shaka wengi wa hivyo wapo humu JF wanatuzingua sana kila siku kwa kujibu jibu kila mada za Kikenya kwa kauli za ajabu ajabu.
Najua hata Kenya utafiti kama huu ulifanyika na sikumbuki vichaa tulitajwa wangapi. Mwenye taarifa naomba ashushe humu.
Hii kitu nadhani huko ke itakuwa 6/10, maana nyie majamaa kwa vituko vya hapa na pale ni dhahiri mpo wengi mno[emoji3] [emoji3]Ripoti imeibuka kwa hawa watani zetu wa kusini kwamba, kwa kila Watanzania wanne, mmoja kati ya ana kichaa. Bila shaka wengi wa hivyo wapo humu JF wanatuzingua sana kila siku kwa kujibu jibu kila mada za Kikenya kwa kauli za ajabu ajabu.
Najua hata Kenya utafiti kama huu ulifanyika na sikumbuki vichaa tulitajwa wangapi. Mwenye taarifa naomba ashushe humu.
Hii kitu nadhani huko ke itakuwa 6/10, maana nyie majamaa kwa vituko vya hapa na pale ni dhahiri mpo wengi mno[emoji3] [emoji3]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hehehe!! Hususan wewe kamanda hukosi kwenye hiyo daftari, maana huwa unaibuka na majibu yasiyokwendana na mada husika mara nyingi sana....
Duh...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Boss umesahau vile huwa unatoa comment humu hadi tunabaki midomo wazi,
Let me assume huwa unakuwa umepiga vyombo.
Na huko ke mnavyotafuna mirungi nakunusa glue mwishowe mnabaka kuku na punda na mbuzi 6/10 won't be a surprise.
Quarter of Kenyans suffering from mental disorders
A quarter of the Kenyan population suffers from some form of mental illnesses that is not taken seriously and are more often discriminated against.
Up to 40 per cent of in-patients in health centres and another 25 per cent of out-patients suffer from mental conditions, a policy report released Tuesday by the Ministry of Health shows. This translates to one in every four Kenyans.
Health Secretary Cleopa Mailu said many of these cases go unnoticed by health workers because most of the patients do not know how to express themselves well.
“Most people go to hospitals with hapa hapa syndrome – explanations that cannot be understood and they are left to go; this shows low level of awareness on mental health, which most turn out to be serious cases,” said Dr Mailu.
The Health CS was speaking during the launch of Kenya Mental Health Policy (2015-2030) document in Nairobi.
He said mental health should take centre-stage of health delivery since it is a determinant of overall health and socio-economic development.
Mental health is described as a state of well-being where individuals recognise their abilities, are able to cope with normal stresses of life, and work productively to make a contribution to their communities.
Ninety per cent of the one million suicides globally are associated with some form of mental disorder, namely stress, depression, bipolar, schizophrenia.
Dr Mailu said that the Ministry will budget for financial resources to bridge the current huge mental health gap, infrastructure for mental health, building capacity and competencies of the workforce for mental health.
Bongo nayo ni mtu mmoja kati ya wanne, ngoma droo.Aha! Kumbe robo, yaani mmoja kati ya wanne, mimi nilijua tutakua 6/10... Yaani kumbe hata tupo vichaa wachache zaidi ya Bongo.