Vipi utafiti kama huu wa vichaa ulifanyika Kenya?

na hawa vichaa hua wanajuana kwa vilemba, utaona wakivutiwa na mada fulani alafu wanajitokeza kwa wingi
 
Wame jaa hapa jf

game over
tuusan
geza
bagamoyo

geza anakichaa

Sammuel999

Hah ! Hah! don't take it personally, najua inauma na kuchoma sana mabandiko yetu.

Unajua sisi huwa tunabandika habari zote iwe nzuri au mbaya ili mradi wasomaji wa JamiiForums wapate kuelewa ukanda wetu huu wa EAC unakwenda vipi kwa kupata habari motomoto zinatokea bila ya kulalia habari za aina moja.

Na kwa namna hii itawezesha wana-Afrika Mashariki ''kufahamiana zaidi'' na kuwa karibu kutafuta fursa ziwe za kiuchumi, kitalii, ndoa, burudani n.k
 
Hahahahahaaaa Mk una mambo sana wewe mtu nimecheka sana.
 
Ju
juzi Matanzania kabaka mbuzi kisa na maana ni kwamba maganga kamdanganya kua atukua tajiri hicho c kichaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
geza na mamarosa
mmoja ni chizi na mwenzake ni naibu wake. mwanzoni nilidhani wote mtu moja. yaani full udu wanapumzika tu kunywa maji
 
Mtoa mada unaonekana una ukichaa kabisaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…