Hahahahahaaaa Mk una mambo sana wewe mtu nimecheka sana.Jirani yako lazima umuwaze kila ukiamka maana akichizika ghafla itakula kwako pia.
Haina umuhimu nihangaike kuwaza Wanigeria, inabidi niwajulie hali Wasomali, Wahabeshi, Wasudani, Waganda na Watanzania maana hao ndio wamenizunguka. Hivyo, afya njema kwa jirani ni faraja kwangu mimi pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na hawa vichaa hua wanajuana kwa vilemba, utaona wakivutiwa na mada fulani alafu wanajitokeza kwa wingi
juzi Matanzania kabaka mbuzi kisa na maana ni kwamba maganga kamdanganya kua atukua tajiri hicho c kichaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Boss umesahau vile huwa unatoa comment humu hadi tunabaki midomo wazi,
Let me assume huwa unakuwa umepiga vyombo.
Na huko ke mnavyotafuna mirungi nakunusa glue mwishowe mnabaka kuku na punda na mbuzi 6/10 won't be a surprise.
Mmoja wao ndio huyu...kumbe ni ukweliMtoa mada unaonekana una ukichaa kabisaaa!!!
Koh koh koh aisee nimecheka sana.Hebu niambie jirani tangu lini mtu akavunja tofali na kichwa kama si kichaa hicho.