Vipi utafiti kama huu wa vichaa ulifanyika Kenya?

Vipi utafiti kama huu wa vichaa ulifanyika Kenya?

na hawa vichaa hua wanajuana kwa vilemba, utaona wakivutiwa na mada fulani alafu wanajitokeza kwa wingi
 
Wame jaa hapa jf

game over
tuusan
geza
bagamoyo

geza anakichaa

Sammuel999

Hah ! Hah! don't take it personally, najua inauma na kuchoma sana mabandiko yetu.

Unajua sisi huwa tunabandika habari zote iwe nzuri au mbaya ili mradi wasomaji wa JamiiForums wapate kuelewa ukanda wetu huu wa EAC unakwenda vipi kwa kupata habari motomoto zinatokea bila ya kulalia habari za aina moja.

Na kwa namna hii itawezesha wana-Afrika Mashariki ''kufahamiana zaidi'' na kuwa karibu kutafuta fursa ziwe za kiuchumi, kitalii, ndoa, burudani n.k
 
Jirani yako lazima umuwaze kila ukiamka maana akichizika ghafla itakula kwako pia.
Haina umuhimu nihangaike kuwaza Wanigeria, inabidi niwajulie hali Wasomali, Wahabeshi, Wasudani, Waganda na Watanzania maana hao ndio wamenizunguka. Hivyo, afya njema kwa jirani ni faraja kwangu mimi pia.
Hahahahahaaaa Mk una mambo sana wewe mtu nimecheka sana.
 
Ju
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Boss umesahau vile huwa unatoa comment humu hadi tunabaki midomo wazi,
Let me assume huwa unakuwa umepiga vyombo.
Na huko ke mnavyotafuna mirungi nakunusa glue mwishowe mnabaka kuku na punda na mbuzi 6/10 won't be a surprise.
juzi Matanzania kabaka mbuzi kisa na maana ni kwamba maganga kamdanganya kua atukua tajiri hicho c kichaa
 
Back
Top Bottom