Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata makaburi huhamishwa
Hiyo barabara haiwezi kuchepushwa ikaacha historia
Mimi na ukristo wamgu wotr naona hili jambo siyo sahihi.
Umejengwa liniHuu msikiti haujajengwa 1826.
Amandla...
nahisi umeongea hivyo kutokana na muonekano wake. utakua uliboreshwa kwa kupakwa rangiHuu msikiti haujajengwa 1826.
Amandla...
Kisa msikiti unalalama.
Ukiangalia style yake hauna zaidi ya miaka 100. Ujenzi wa aina hiyo haukuwepo nyakati zile katika eneo lile. Ujenzi ulikuwa wa fito na udongo na nyasi. Ila huu unaweza kuwa ni msikiti uliojengwa sehemu palipokuwepo msikiti wa 1826.Umejengwa lini
Huu msikiti uko Mbeya sehemu gani? Maana msikiti wa kwanza kujengwa Mbeya mjini ulijengwa mwaka 1992 akauzindua Rais Mwinyi pale Matola
Uko sahihi. Lakini huo inaelekea umejengwa kwa matofali ( ya udongo au simenti). Na paa za asili katika maeneo hayo yalikuwa yanavuka kuta ili kulinda kuta na kutengeza vibaraza. Hili jengo sio la 1826.nahisi umeongea hivyo kutokana na muonekano wake. utakua uliboreshwa kwa kupakwa rangi
Bado haujanishawishiUkiangalia style yake hauna zaidi ya miaka 100. Ujenzi wa aina hiyo haukuwepo nyakati zile katika eneo lile. Ujenzi ulikuwa wa fito na udongo na nyasi. Ila huu unaweza kuwa ni msikiti uliojengwa sehemu palipokuwepo msikiti wa 1826.
Amandla...
Msikiti wa Kizimkazi Dimbani ulijengwa kwa mara ya kwanza 1107 lakini sehemu kubwa iliyobaki ilijengwa karne ya 18. Ulijengwa kwa mawe na washirazi. Msikiti huo bado unatumika. Hapa tatizo ni kuwa katika eneo hilo hakuna historia ya majengo ya aina hii.Bado haujanishawishi
Nyumba yako inawezekana ikawa na nyufa lakini yale mapiramidi kule Giza yapo strong hadi kesho....
Weka nukta hapo