Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Inapokuja swala la maendeleo then tunaangalia faida ipo wapi hatuangalii watu watajisikia vipi. Swala la maendeleo ni process ya kimantiki sio la kihisia.
Sawa ni jengo la kihistoria,je hiyo ina msaada gani kwa wanainchi eneo hilo,je ni wote wanalihitaji hilo jengo kwa shughuli zake?
Nadhani kudhania hilo jengo ni muhimu kuliko barabara itakuwa ni uzembe wa kufikiria na ni kukosa utashi wa kizalendo kwa taifa letu na ni aina ya ubinafsi wa kujifikiria faida au tija binafsi au kundi la wachache kwa hasara na mateso ya wengi.
Imagine wale watu waliokuwa wanakataa kubomoa nyumba zao,misikiti,makanisa,shule,frame na kadhalika hii barabara ya morogoro. Hivi magufuli angekuwa sio kauzu na mtata na kufanya maamuzi ya kiume kukaza njia isafishwe leo tungepata barabara ile za kisasa vile?🤔
Hebu tuwe wazalendo.
Sawa ni jengo la kihistoria,je hiyo ina msaada gani kwa wanainchi eneo hilo,je ni wote wanalihitaji hilo jengo kwa shughuli zake?
Nadhani kudhania hilo jengo ni muhimu kuliko barabara itakuwa ni uzembe wa kufikiria na ni kukosa utashi wa kizalendo kwa taifa letu na ni aina ya ubinafsi wa kujifikiria faida au tija binafsi au kundi la wachache kwa hasara na mateso ya wengi.
Imagine wale watu waliokuwa wanakataa kubomoa nyumba zao,misikiti,makanisa,shule,frame na kadhalika hii barabara ya morogoro. Hivi magufuli angekuwa sio kauzu na mtata na kufanya maamuzi ya kiume kukaza njia isafishwe leo tungepata barabara ile za kisasa vile?🤔
Hebu tuwe wazalendo.