Mkuu ahsante kwa mchango wako, msaada hapo kwenye Emotion InteligenceHayanaga mwongozo mkuu. Ukishapenda sawasawa hata ulikuwa na vigezo vyako unaviona siyo vya muhimu kivile...ukija kushtuka muda wa kampeni umeshaisha jimbo limeshachululiwa na mgombea keshaapishwa upo unaonja joto ya jiwe...
Kwangu mimi kigezo kikubwa kilikuwa ni akili na emotional intelligence. Binti aliye vizuri upstairs na ambaye ana emotional intelligence kubwa kama Mama E basi mi kwishnei haijalishi kama ni kama ni pisi kali ama la!
sasa atajuaje kama analo?[emoji41]TACKO
😳umeita madubwasha?😀Naona trako ni moja yq kigezo cha vijana wengi! Mnayapendea nini hayo madubwasha?.
Kama kibunda unacho utapendwa.Mi nilichagua mwanamke anayenipenda
Makalio ukinai mazuri tu yakiwa kwenye jaladaWa
Wanajf wakaka humu wengi wamechagua sifa moja tu ya .makalio.....
kakosea sana uyu[emoji15]umeita madubwasha?
Kazi ya yale matairi nyuma ya zile landrover Zinazotumika kama breakdown. Shock absorberMakalio ukinai mazuri tu yakiwa kwenye jalada