Vipi zile nafasi za Internship TBS walishaita watu?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari,

Ilikuwa 21 April TBS walitoa tangazo la internship kwa nafasi mbalimbali.

Vipi walishaita vijana kwa ajili ya usaili na kuanza kazi?

Nimeingia kwenye website yao sijaona tangazo lolote, ni bado mchakato au watu wamepigiwa simu direct?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…