Vipi?

Vipi?

muganzi wa muganzi

New Member
Joined
Jan 11, 2015
Posts
1
Reaction score
1
Jina naitwaituaga muganzi mi ni msanii na pia malenga Nilianzia usanii shule na bado naendeleaniko kwenye ukumbi wa kenya national theatrehapa kunawasanii wengi waigizaji na wanasarakasi nilipata mafunzo hapa jinsi ya kua muigizaji hodarifanii ya sanaa imeanza kutabulika wasanii sasa wanajimuduukumbi wa knt sasa unafanyiwa marekebisho tukijitayarisha kuingia katika mfumo wa digitali
 
Back
Top Bottom