malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habar wakuu nauliza ni vipimo vipi vyakupima ili kuthibitisha kuwa Figo zimefi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habar wakuu nauliza ni vipimo vipi vyakupima ili kuthibitisha kuwa Figo zimefi
MkuuFigo kufeli ni ugonjwa, kwa hiyo kuna dalili zake ambazo mtu huona hata kabla ya vipimo.
Sijajua kama una tatizo hilo au unataka tu kujua vipimo.
Ukienda hospitalini baada ya kutoa maelezo (shida zako ) yako kwa daktari ambayo pengine huashiria tatizo la figo kufeli basi utafanyiwa vipimo vya damu, mkojo na ultrasound.
Katika vipimo vya damu utapimwa damu kwa ujumla wake (full blood picture, FBP) pamoja na viwango vya sumu ambazo hutolewa na figo mwilini (creatinine, blood urea) ili kujua hali ya utendaji kazi wa figo. Figo kufeli husababisha upungufu wa damu (anemia) pamoja na viwango vya juu sana vya sumu kwenye damu (creatinine, blood urea).
Kwenye mkojo wataangalia vitu mbalimbali ambavyo pia huashiria tatizo la figo kufeli mfano uwepo wa damu na protein kwenye mkojo nk
Ultrasound hutumika kuangalia muonekano na muundo wa figo nk. Mara nyingi figo lililofeli muonekano wake kwa ujumla hubadilika.
Kila la kheri.
Mkuu
Mkuu samahani hivi una account nyingine hapa jf au hii ndo ya kwanzaKaribu sana mkuu, 🙏
Mkuu samahani hivi una account nyingine hapa jf au hii ndo ya kwanza
Mkuu nimetokea sana ku kubali the way unatoa maelezo hapo juu...Hapana mkuu,
Hii ndiyo ya kwanza.
Mkuu nimetokea sana ku kubali the way unatoa maelezo hapo juu...
Hivo naomba uwe miongoni mwa watu nao watag kwenye issue mbali mbali ambazo zinahitaji michango ya afya..
Pia kama unaona kuna mpya yotote ambayo unaweza ku share na sisi kubusu figo unaweza anzisha hata uzi pia kule jukwaa la afya ili kusoma na kupitia.
Ni hayo tuu mkuu...
Ila kwa hyo maelezo uliyoto daaah upo vzr boss
Je mtu creatinine na blood urea vikawa sawa pia Kuna uwezekano Figo zikawa zimefeli na Hali hizo blood urea na creatinine ziko sawaFigo kufeli ni ugonjwa, kwa hiyo kuna dalili zake ambazo mtu huona hata kabla ya vipimo.
Sijajua kama una tatizo hilo au unataka tu kujua vipimo.
Ukienda hospitalini baada ya kutoa maelezo (shida zako ) yako kwa daktari ambayo pengine huashiria tatizo la figo kufeli basi utafanyiwa vipimo vya damu, mkojo na ultrasound.
Katika vipimo vya damu utapimwa damu kwa ujumla wake (full blood picture, FBP) pamoja na viwango vya sumu ambazo hutolewa na figo mwilini (creatinine, blood urea) ili kujua hali ya utendaji kazi wa figo. Figo kufeli husababisha upungufu wa damu (anemia) pamoja na viwango vya juu sana vya sumu kwenye damu (creatinine, blood urea).
Kwenye mkojo wataangalia vitu mbalimbali ambavyo pia huashiria tatizo la figo kufeli mfano uwepo wa damu na protein kwenye mkojo nk
Ultrasound hutumika kuangalia muonekano na muundo wa figo nk. Mara nyingi figo lililofeli muonekano wake kwa ujumla hubadilika.
Kila la kheri.
Ulipata dalili Gani za mawe kwenye figoMungu apishilie mbali,nilisumbuliwaga na mawe kwenye figo baada ya kupima pale Rabbininsia hosp,
Wakati natumia dawa ya kuyalainisha yatoke kwa njia ya mkojo, basi kijiwe kimoja kikakwama katikati ya uume, mkojo unauma,kutoka hautoki, walahi siku iyo nilizunguka ndani,mara chooni nikiwa uchi wa mnyama uku navuja jasho,
Kijiwe kilikuja kutoka na chembe ndogo za damu juu, kwakweli maradhi ni mtihani
Kwa huu mwandikoo ndo dalili zake izi..Habar wakuu nauliza ni vipimo vipi vyakupima ili kuthibitisha kuwa Figo zimefi
Je mtu creatinine na blood urea vikawa sawa pia Kuna uwezekano Figo zikawa zimefeli na Hali hizo blood urea na creatinine ziko sawa
Ndiyo, inawezekana kabisa hiyo hali kutokea.
Hizo sumu (blood urea na creatinine) zinaweza zikapimwa na kuwa sawa lakini tayari figo imefeli. Hii hutokea tu katika hatua za mwanzo kabisa za figo kufeli na kadri uharibifu/ugonjwa unavyoendelea ndivyo viwango vyake hupanda juu kwenye damu.
Mpaka viwango vya urea na creatinine zinapanda walau mara mbili ya kiwango kinachotakiwa kwenye damu uharibifu kwenye figo (figo kufeli) utakuwa umefikia asilimia 50. (50%).
[/QUOTEnini kinasababisha kufeli Sasa nahali blood urea na creatinine ziko sawa..
Nin kinafanya zifeli Hali creatinine na urea viko sawaNdiyo, inawezekana kabisa hiyo hali kutokea.
Hizo sumu (blood urea na creatinine) zinaweza zikapimwa na kuwa sawa lakini tayari figo imefeli. Hii hutokea tu katika hatua za mwanzo kabisa za figo kufeli na kadri uharibifu/ugonjwa unavyoendelea ndivyo viwango vyake hupanda juu kwenye damu.
Mpaka viwango vya urea na creatinine zinapanda walau mara mbili ya kiwango kinachotakiwa kwenye damu uharibifu kwenye figo (figo kufeli) utakuwa umefikia asilimia 50. (50%).
Nin kinafanya zifeli Hali creatinine na urea viko sawa
Utajuaje Figo imeanza kufeli taratibu taratibu Hali yakuwa vitu vingine viko sawa kama blood urea,creatinine ....naumesema Figo kufeli haitegemea kipimo kimoja labda hivo vipimo vingine ni vipi hivo